Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Kanali Mstaafu Mika Metili, mwenye umri wa miaka 78 akiwa na mke wake mpya mwenye umri wa miaka 27 kwenye ndoa Yao iliyofungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa ILBORU
Tofauti ya umri wao ni miaka 51. Nini maoni yako?!
Tofauti ya umri wao ni miaka 51. Nini maoni yako?!