Kanali Mstaafu Meliti (78) afunga ndoa umri wa mke miaka 27

Kanali Mstaafu Meliti (78) afunga ndoa umri wa mke miaka 27

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Kanali Mstaafu Mika Metili, mwenye umri wa miaka 78 akiwa na mke wake mpya mwenye umri wa miaka 27 kwenye ndoa Yao iliyofungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa ILBORU

Tofauti ya umri wao ni miaka 51. Nini maoni yako?!

1642072141022.png
 
Back
Top Bottom