Kanali Mstaafu Meliti (78) afunga ndoa umri wa mke miaka 27

Kanali Mstaafu Meliti (78) afunga ndoa umri wa mke miaka 27

Kanali Mstaafu Mika Metili, mwenye umri wa miaka 78 akiwa na mke wake mpya mwenye umri wa miaka 27 kwenye ndoa Yao iliyofungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa ILBORU

Tofauti ya umri wao ni miaka 51. Nini maoni yako?!

View attachment 2079364
Safi kabisa yaani huku sasa ndio kustaafu...u achukua mbususu mbichi mbichi wajilia zako
 
Kama kwamependana sioni kama kuna shida hapo,mambo mengine watajuana wenyewe...
 
Kujitaftia kifo cha mapema tu. Kwa uzee huo kuoa kabinti na hapo si ajabu mzee ana watoto wakubwa wa kiume.

Wanae watatamaniana na mkewe coz wote damu zinachemka, watamla mama yao wa kambo. Na walivo wavivu siku hizi wataandaa njama ya kummaliza mzee wale maisha.

Namsikitikia kanali 😓
 
Kanali Mstaafu Mika Metili, mwenye umri wa miaka 78 akiwa na mke wake mpya mwenye umri wa miaka 27 kwenye ndoa Yao iliyofungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa ILBORU

Tofauti ya umri wao ni miaka 51. Nini maoni yako?!
Huyu naye aliolewa na na Maganga wa kienyeji mwenye miaka 76. Akaishia kimya mama yake

A3F08031-51B7-4DD7-856D-EBC15C435477.jpeg
 
Wanajeshi yale mazoezi wanayofanya yanawasaidia huwa wanakuwa fit. Kuna Bibi nilikutana nae ana 98 lakini anakwenda kanisani mwenyewe ingawa si mwendo mrefu sana lakini wenzake wengi wa 98 hawawezi. Aliniambia alikuwa mjeshi.
Wanajeshi wengi wa zamani Ni wakakamavu Sana ..check wakuu wanajeshi wote wastaafu wapo wazima msuguri, mboma, sarakikya...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ubishi juu ya umri wa mtu wa nini? Kwani kuna kombe linatolewa kwa kuwa na miaka 27 ambalo anajaribu kupata? Kama kasema yuko 27, basi ndio hivyo. Kuna watu tumepata mvi in our 30s. Sasa wewe utasema huyu hawezi kuwa 35 kwa vile ana mvi, eti.
 
Back
Top Bottom