Kanali Mstaafu Meliti (78) afunga ndoa umri wa mke miaka 27

shinda mechi zote za nyumbani huko ugenini ni maajaliwa.....fight for your own good
 
Mtu hana KUVIMBA KWA TEZI DUME (benign prostatic hypertrophy).......

Mtu hatembei na fuko la "ndogo" (Urinary catheter)....

Kanali mstaafu Metili yuko fiti KALIKITI......

Babu kanifurahisha haswaa ,Mwenyezi Mungu ampe uhai mrefu na afya njema yeye na bibi yetu huyo aaaamin aaaamin aaaamin aaaamin🙏

#Metili Mtu Na Nusu
#Metili Hahitaji Vumbi La Kongo a.k.a Kasongo Mpango
 
Kwa huo umri anaweza hata Kula mzigo . Yaani tamaa hizi mbaya Sana . Na huyo binti ni kweli kampenda huyu Mzee

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Who's 27 again? maana kama namuona mother of the bride kwenye picha umetuma...
 
Wanajeshi yale mazoezi wanayofanya yanawasaidia huwa wanakuwa fit. Kuna Bibi nilikutana nae ana 98 lakini anakwenda kanisani mwenyewe ingawa si mwendo mrefu sana lakini wenzake wengi wa 98 hawawezi. Aliniambia alikuwa mjeshi.
 
Wanajeshi yale mazoezi wanayofanya yanawasaidia huwa wanakuwa fit. Kuna Bibi nilikutana nae ana 98 lakini anakwenda kanisani mwenyewe ingawa si mwendo mrefu sana lakini wenzake wengi wa 98 hawawezi. Aliniambia alikuwa mjeshi.
Hakika.....👊

Mazoezi na kujitunza kiafya!!

Kongole kwa bibi yetu mdogo akampe babu raha za ulimwengu👍
 
Yaani hapo huyo mwanamke anajua atakayetangulia kuondoka Ni mzee...mzee makaratasi na urithi aweke sawa kuepusha mkanganyiko Kama wa mzee mengi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Yaani hapo huyo mwanamke anajua atakayetangulia kuondoka Ni mzee...mzee makaratasi na urithi aweke sawa kuepusha mkanganyiko Kama wa mzee mengi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hata ndoa za vijana wasiopishana parefu ....huko mbele tunaotangulia sana ni sisi wanaume.....
 
Wanawake fanyeni kazi acheni KITONGA au kutembea kwenye ganda la ndizi.
Msije kutuombea tuwahi ili mle mali. Mzee alishaandika wosia longi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…