Safi kabisa yaani huku sasa ndio kustaafu...u achukua mbususu mbichi mbichi wajilia zakoKanali Mstaafu Mika Metili, mwenye umri wa miaka 78 akiwa na mke wake mpya mwenye umri wa miaka 27 kwenye ndoa Yao iliyofungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa ILBORU
Tofauti ya umri wao ni miaka 51. Nini maoni yako?!
View attachment 2079364
Wewe kuna mwanaume ambaye ameoa ambaye mke wake hamdangi bwana?Kanali mzima anashindwa kujua kuwa hapo wanamdanga? [emoji23]
Sahihi kabisaHuyu sio yule mmiliki wa iliboru lodge?
Wew mmeo Ana umri gan?Vijana watafute pesa, uzee mwisho Chalinze
Usje ukawa huna hata mmeLakini hatuibi waume za watu, kama mke wa yule jamaa alivyoipata habari yako
Zaidi aisee...mi nna 35 hio and i dont look tht old[emoji28][emoji28]Hiyo sura ya huyo mdada ni miaka 35 eti 27.
Hyo pis ina Zaid ya miaka 27, acha kudanganya watuNa wamama wanawinda Ben ten
Huyu naye aliolewa na na Maganga wa kienyeji mwenye miaka 76. Akaishia kimya mama yakeKanali Mstaafu Mika Metili, mwenye umri wa miaka 78 akiwa na mke wake mpya mwenye umri wa miaka 27 kwenye ndoa Yao iliyofungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa ILBORU
Tofauti ya umri wao ni miaka 51. Nini maoni yako?!
KabisaZaidi aisee...mi nna 35 hio and i dont look tht old[emoji28][emoji28]
Huyu ana 40 kwenda mbele huko....
Wanajeshi wengi wa zamani Ni wakakamavu Sana ..check wakuu wanajeshi wote wastaafu wapo wazima msuguri, mboma, sarakikya...Wanajeshi yale mazoezi wanayofanya yanawasaidia huwa wanakuwa fit. Kuna Bibi nilikutana nae ana 98 lakini anakwenda kanisani mwenyewe ingawa si mwendo mrefu sana lakini wenzake wengi wa 98 hawawezi. Aliniambia alikuwa mjeshi.
Binti ameamua achukue pensheni mapemaKanali Mstaafu Mika Metili, mwenye umri wa miaka 78 akiwa na mke wake mpya mwenye umri wa miaka 27 kwenye ndoa Yao iliyofungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa ILBORU
Tofauti ya umri wao ni miaka 51. Nini maoni yako?!
View attachment 2079364
Ngoma drooNa wamama wanawinda Ben ten