Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia anajua kutupia vizuri

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Huyu afande, Kanali Mashauri ambaye ni mpambe wa Rais Samia, ukiacha mavazi ya kijeshi yuko vizuri pia katika mavazi ya kiraia.

Juzi niliona wakishuka pale Airport akiwa amevaa kiraia, amevaa suti yake imemkaa vyema sana hakika anaendana sana na Rais Samia.

Kongole kwake Afande, unaitendea vizuri nafasi yako.



 
Hivi anapata mda saa ngapi wa kujiunga cha chuo na mmewe
Lzm atakuwa anapewa muda wa kwenda kuchakatwa tu kuanza ukiwa adc wa rais Ni muda wote unakuwa nae au Kuna saa uko free kwenda kuchakatwa
 
Kama bado yuko single, hapa Mama lazima atapata mkwe muda siyo mrefu. Mama na mwana wote wako very smart, halafu wote sura kama watutsi au wasukuma wa kijijini kwetu. Hongera zao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…