Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Huu ni uchochezi sasa, never outshine your bossAna pendeza kuzidi hangaya
sijui imekaaje ila atakuwa amekosea sana kiprotocali kuwa in public na CiC akiwa amevaa kiraia
wewe ndio hujui kitu yote hayo ni makosa
Sio msukuma huyo?Wajita mmeamka sio
Za kupotea mkuuView attachment 2127271
Punguza ujuaji
Kwamba wewe ndio unajua sana?wewe ndio hujui kitu yote hayo ni makosa
Nipo mkuu..,huwa napitapita humu mara mojamoja "kuchungulia"Za kupotea mkuu
embu peleka upumbavu wako kwa wapumbavu wenzakoKwamba wewe ndio unajua sana?
Lzm atakuwa anapewa muda wa kwenda kuchakatwa tu kuanza ukiwa adc wa rais Ni muda wote unakuwa nae au Kuna saa uko free kwenda kuchakatwaHivi anapata mda saa ngapi wa kujiunga cha chuo na mmewe
Kama bado yuko single, hapa Mama lazima atapata mkwe muda siyo mrefu. Mama na mwana wote wako very smart, halafu wote sura kama watutsi au wasukuma wa kijijini kwetu. Hongera zao!Huyu afande, Kanali Mashauri ambaye ni mpambe wa Rais Samia, ukiacha mavazi ya kijeshi yuko vizuri pia katika mavazi ya kiraia.
Juzi niliona wakishuka pale Airport akiwa amevaa kiraia, amevaa suti yake imemkaa vyema sana hakika anaendana sana na Rais Samia.
Kongole kwake Afande, unaitendea vizuri nafasi yako.
View attachment 2127132
View attachment 2127133