Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia anajua kutupia vizuri

Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia anajua kutupia vizuri

Watutsi wa Kagame hahaha
Kanda ya Ziwa, Mwanza, Musoma asili yao ni Congo. Kwa mfano, ancestors wetu sisi inasemekana walishuka kutoka Congo wakaja hadi Ankole, Uganda. Walivyotoka ankole ndiyo wakashuka kuja usukumani Mwanza and here I'm
 
Kanda ya Ziwa, Mwanza, Musoma asili yao ni Congo. Kwa mfano, ancestors wetu sisi inasemekana walishuka kutoka Congo wakaja hadi Ankole, Uganda. Walivyotoka ankole ndiyo wakashuka kuja usukumani Mwanza and here I'm
Sikupingi mkuu kwasababu kila mmoja anaweza kuja na hoja yake kuhusu chimbuko la jamii fulani.

Ugumu hujidhihirisha wakati wa kuthibitisha hoja husika.

Kwa jina na muonekano wake anaonekana kuwa msukuma.

Tupo pamoja mkuu.
 
Huyu dada ni kanali, unafikiri ili ufikie ukanali unatakiwa uwe una miaka isiyopungua mingapi?
Kama bado yuko single, hapa Mama lazima atapata mkwe muda siyo mrefu. Mama na mwana wote wako very smart, halafu wote sura kama watutsi au wasukuma wa kijijini kwetu. Hongera zao!
 
Kanda ya Ziwa, Mwanza, Musoma asili yao ni Congo. Kwa mfano, ancestors wetu sisi inasemekana walishuka kutoka Congo wakaja hadi Ankole, Uganda. Walivyotoka ankole ndiyo wakashuka kuja usukumani Mwanza and here I'm
Kama hauzijui


Hamitic

And

Luo/nilothic theories acha kudanganya watu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom