Imagine wewe ni laiser/Msuya/Mchome/Sumaye halafu unasikia mtu analeta mada ya Nothern zone huku akifikiri ukiongelea Nothern zone unaongelea Moshi/Wachaga.
Kuna baadhi ya watu mnawakuza sana wachaga kila zinapoletwa mada za Nothern zone ilihali ni sehemu tu ya watu wa kaskazini.
Ukiongelea kaskazini unaanzia Tanga kama sikosei(Nirekebishwe kama sipo sahihi) mpaka babati kwenye mbuga za wanyama huko. Umasaini kwa kina laiser, Endasaki kwa kina sumaye, upareni kwa kina Mndeme, n.k
A blessed region.
Kuna watu mnawafanya watu wa maeneo mengine wafikiri Kaskazini ni uchagani. Wachaga ni sehemu tu ya ardhi ya Kaskazini na wamejikita zaidi kwenye biashara ndogondogo,za kati na wengine biashara kubwa.
Wapo pia omba omba, walevi, wezi, vibaka na matapeli kutoka moshi kilimanjaro.
Ukiongelea matajiri wa kaskazini watu watapeleka mawazo yao kwa wachaga lakini ukienda umasaini utakutana na matajiri wakubwa sana wenye ranch za ng'ombe na tenda za kulisha jeshi miaka na miaka hutawasikia,
Hanang kuna watu wana mashamba ya Alizeti ekari za kutosha, mahrvest combiner na matrekta makubwa na magodown makubwa ila hutawasikia.
Ukienda mererani kuna mabilionea wa kimasai, walikuwepo kina msuya(RIP), n.k n.k
Sasa mchaga mwenye duka la kileo, guest house, nyumba ya kupangisha na prado mchaga hapo Arusha mjini ndo atatolewa mfano wa matajiri wa kaskazini.
Wachaga kama walivyo makabila wengine ni watu safi sikatai, wachapa kazi na wengi wao wanapenda biashara. Ila kufikiri nothern zone ni Moshi kwa wachaga ni kupotoshwa, Uchagani ni sehemu tu ya Nothern zone.
KANDA YENYE MCHANGO MKUBWA SANA KWENYE UCHUMI WA TANZANIA.
Kuna baadhi ya watu mnawakuza sana wachaga kila zinapoletwa mada za Nothern zone ilihali ni sehemu tu ya watu wa kaskazini.
Ukiongelea kaskazini unaanzia Tanga kama sikosei(Nirekebishwe kama sipo sahihi) mpaka babati kwenye mbuga za wanyama huko. Umasaini kwa kina laiser, Endasaki kwa kina sumaye, upareni kwa kina Mndeme, n.k
A blessed region.
Kuna watu mnawafanya watu wa maeneo mengine wafikiri Kaskazini ni uchagani. Wachaga ni sehemu tu ya ardhi ya Kaskazini na wamejikita zaidi kwenye biashara ndogondogo,za kati na wengine biashara kubwa.
Wapo pia omba omba, walevi, wezi, vibaka na matapeli kutoka moshi kilimanjaro.
Ukiongelea matajiri wa kaskazini watu watapeleka mawazo yao kwa wachaga lakini ukienda umasaini utakutana na matajiri wakubwa sana wenye ranch za ng'ombe na tenda za kulisha jeshi miaka na miaka hutawasikia,
Hanang kuna watu wana mashamba ya Alizeti ekari za kutosha, mahrvest combiner na matrekta makubwa na magodown makubwa ila hutawasikia.
Ukienda mererani kuna mabilionea wa kimasai, walikuwepo kina msuya(RIP), n.k n.k
Sasa mchaga mwenye duka la kileo, guest house, nyumba ya kupangisha na prado mchaga hapo Arusha mjini ndo atatolewa mfano wa matajiri wa kaskazini.
Wachaga kama walivyo makabila wengine ni watu safi sikatai, wachapa kazi na wengi wao wanapenda biashara. Ila kufikiri nothern zone ni Moshi kwa wachaga ni kupotoshwa, Uchagani ni sehemu tu ya Nothern zone.
KANDA YENYE MCHANGO MKUBWA SANA KWENYE UCHUMI WA TANZANIA.