Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Chasaka ni mtu ambae si mchagga.'Chasaka' sijaelewa maana yake boss.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chasaka ni mtu ambae si mchagga.'Chasaka' sijaelewa maana yake boss.
Hata kama Serengeti ingekuwa ipo Mara na si katikati ya Arusha na Mara bado ingeendelea kuwa Kaskazini, Arusha ipo Kaskazini Mashariki mwa Tanzania na Mara ipo Kaskazini Magharibi mwa Tanzania. Kama si geographical feature (Ziwa Victoria) hiyo mikoa inayoitwa ya Kanda ya Ziwa ingekuwa inatambulishwa kama Mikoa ya Kanda ya Kaskazini Magharibi mwa Tanzania.Serengeti iko katkati ya Arusha na mara But sehemu kubwa ya Serengeti iko mkoa wa Mara ambayo n Lake zone ....
Ooh..... Unamaanisha mtu ambaye asili yake si ndani ya makabila ya wachaga. Ok mkuu.Chasaka ni mtu ambae si mchagga.
Upo sahihi, ila naona kama ni sahihi zaidi kuwakilisha KLM na si Kaskazini yote.Hata kama Serengeti ingekuwa ipo Mara na si katikati ya Arusha na Mara bado ingeendelea kuwa Kaskazini, Arusha ipo Kaskazini Mashariki mwa Tanzania na Mara ipo Kaskazini Magharibi mwa Tanzania. Kama si geographical feature (Ziwa Victoria) hiyo mikoa inayoitwa ya Kanda ya Ziwa ingekuwa inatambulishwa kama Mikoa ya Kanda ya Kaskazini Magharibi mwa Tanzania.
Sema tu ni kwa bahati mbaya sana kwamba ukisema Kanda ya Kaskazini basi moja kwa moja watu wanajua kuwa unazungumzia Kaskazini Mashariki inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga. Tena wengine Tanga haiwajii kichwani.
Wachaga ni kabila la pili kwa ukubwa Tanzania na lina wingi wa historia pengine ndo maana ukizungumza Kaskazini linakuwa ndilo kabila linawajia watu kichwani. Lakini pia kuna Wamasai ambao pia ni kabila maarufu sana si tu Tanzania bali Afrika pia na duniani (kwa wale watu wachache wanaofuatilia historia ya Afrika), ndilo kabila linafuata kwa kuwajia watu kichwani pindi Kaskazini izungumziwapo. Ukimuambia mtu unatoka Kaskazini atakuambia "Wewe ni Mchaga eeh?" Ukimkatalia atakuuliza ni Masai? Yote hayo yanatokana na ukubwa wa historia ya makabila hayo.
Lakini Kaskazini ina Makabila mengine;
Wachaga
Wamasai
Waarusha (Wamasai koko)
Wameru
Wapare
Wasonjo
n.k
Kuhusu umiliki wa Uchumi hapana shaka kabisa kwamba uchumi wa Kaskazini unamilikiwa na Wachaga pengine wakifuatwa na Wamasai kama tukilinganisha kwa uwiano.
Ni kanda ambayo watu wake ni Wajamaa sana tena kuwazidi hata Wasukuma wanaosifika kwa Ukarimu.
Ujamaa wao pamoja na kwamba haushii tu kwa wao peke yao bali na kwa wengine pia wanaokutana nao ndo jambo ambalo linawafanya waonekana ni watu wa kujaliana wenyewe.
Chasaka = mtu asiyekuwa Mchagga.'Chasaka' sijaelewa maana yake boss.
ShukranChasaka = mtu asiyekuwa Mchagga.
Hata baadhi ya makabila/mataifa mengine yanatofautisha pia wenyeji na wageni.
Mf:
Wasukuma, wanasema "makabila" - mtu wa mataifa/wakuja
Wahaya, wanasema "nyama(hanga)
- mtu wa mataifa(hanga), wakuja
- Ha-goyim, gentile, alien - Wayahudi.
Chasaka = mtu asiyekuwa Mchagga.
Hata baadhi ya makabila/mataifa mengine yanatofautisha pia wenyeji na wageni.
Mf:
Wasukuma, wanasema "makabila" - mtu wa mataifa/wakuja
Wahaya, wanasema "nyama(hanga)
- mtu wa mataifa(hanga), wakuja
- Ha-goyim, gentile, alien - Wayahudi.
Poor exposureSi ndio. Yaani sijui hii notion imetokanana na nini.
Hata sisi hatutaki kuwakilisha watu... Tumejikuta tu tuko kanda moja... Ni kama tu Simba wanavyojikuta Ligi moja na Yanga... Sio level yao ila ndio hamna namna...Ok mkuu, ila Kilimanjaro ni sawa kuwakilishwa na wachaga ila si kaskani yote.
Hahaha.Hata sisi hatutaki kuwakilisha watu... Tumejikuta tu tuko kanda moja... Ni kama tu Simba wanavyojikuta Ligi moja na Yanga... Sio level yao ila ndio hamna namna...
Chasaka = mtu asiyekuwa Mchagga.
Hata baadhi ya makabila/mataifa mengine yanatofautisha pia wenyeji na wageni.
Mf:
Wasukuma, wanasema "makabila" - mtu wa mataifa/wakuja
Wahaya, wanasema "nyama(hanga)
- mtu wa mataifa(hanga), wakuja
- Ha-goyim, gentile, alien - Wayahudi.
Kwani katika kanda ya kaskazini wachaga wamechukua asilimia ngapi hadi wabebe kanda nzimaIpo Mkoa wa Mara
Kila kanda inabebwa na kabila moja
Kanda ya ziwa wasukuma
Kusini Wamakonde
Nyanda za juu kusini Wanyakyusa
Acha wivu
Ndo hapo sasa, labda waseme wamasai kuliko wachagaKaskazini inabebwa na wachaga?
Sawa...
Tunajua kanda ya ziwa wasukuma ni wengi, same to makabila mengi kila kanda ndo maana sasa population ya wachaga kanda ya kaskazini ina idadi kubwa kiasi gani kugemeralise kuwa wachaga waiwakilishe kaskazini na wamasai woote wa Arusha? Kilimanjaro sawa ila si Kaskazini.
SINA WIVU NA WACHAGA.
Na hii ya kupenda kuwa wawakilishi wa kaskazini yote si nzuri kabisa kwa hii jamii maana hubebi mazuri tu hata mabaya.Ndo hapo sasa, labda waseme wamasai kuliko wachaga
Mtani usiteseke sana.... Kwa huko nje ya nchi wanajua tu Tanzania kuna Wachaga na Wamasai.... Tunawabeba hata nchi kama nchi.Na hii ya kupenda kuwa wawakilishi wa kaskazini yote si nzuri kabisa kwa hii jamii maana hubebi mazuri tu hata mabaya. Sijajua wanapendea nn hii sifa. Wangejikita klm.
RIPOTI ya hali ya ukeketaji nchini inaonesha kuwa Mkoa wa Manyara ni kidedea kwa kukeketa wasichana nchini.
Taarifa hiyo imetolewa na Msimamizi Mkuu wa vipindi wa Redio hiyo, Emmanuel Likuda wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kutokomeza ukeketaji kwa Mikoa ya Kanda ya Kati iliyoandaliwa na Redio ya C-FM ya Jijini hapa jana.
Kwa mujibu wa Tanzania Demographic and Health Survey and Malaria (TDHS) ya 2015-2016, Mikoa inayoongoza kwa ukeketaji ni Manyara (58%), Dodoma (47%), Arusha (41%), Mara (32%), na Singida (31%)
Kampeni hiyo imepewa jina nisitiri nina haki ya kutimiza ndoto zangu,usinikekete,usinipe mimba utotoni ambapo balozi wa kampeni hizo ni Msanii wa Muziki wa kizazi kipya Diana Exavery maarufu kwa jina la Malaika.
Alisema ripoti hiyo imefafanua kuwa ukeketaji hufanywa kwa asilimia 86 na mangariba au wakeketaji wa jadi na asilimia 25 hukeketwa katika umri wa miaka 13 na zaidi
Mtani usiteseke sana.... Kwa huko nje ya nchi wanajua tu Tanzania kuna Wachaga na Wamasai.... Tunawabeba hata nchi kama nchi. Ukifika Finland au Ufaransa ukisema umetoka Tanzania utaulizwa Mchaga? Hamna mtu anamjua Mfipa au Myao au sijui Mnyantunzu au Mbarbeig huko Ulaya. Sijataja Waha maana wataanza ubishi hapa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haya basi kuanzia sasa hawa wabebe Kanda ya Kaskazini