Kanda ya Kaskazini si Moshi kwa wachaga tu

Kanda ya Kaskazini si Moshi kwa wachaga tu

Mtani usiteseke sana.... Kwa huko nje ya nchi wanajua tu Tanzania kuna Wachaga na Wamasai.... Tunawabeba hata nchi kama nchi.

Ukifika Finland au Ufaransa ukisema umetoka Tanzania utaulizwa Mchaga? Hamna mtu anamjua Mfipa au Myao au sijui Mnyantunzu au Mbarbeig huko Ulaya.

Sijataja Waha maana wataanza ubishi hapa
Hahaha absolutely true
 
'Chasaka' sijaelewa maana yake boss.
Chasaka maana yake ni mtu wa Porini yaani mtu wa kuja hata kama umetokea Dar umeenda Uru huko.

Kwahiyo wanaweza kukuita Chasaka au Mpori.

Bukoba wanaitwa Wanyamahanga yaani mtu wa kuja.
 
Huwezi kuwa proud kwa kuwa huna sifa za kuwa mchaga. Kuzaliwa Moshi au kama mama yako aliolewa Moshi akiwa ameshakuzaa na mwanaume mwingine hakuna namna unaweza kuwa Mchaga... Wewe ni Chasaka..
SEMA umeongea kibaguzi sana wew mnyama-anga wa kichaga.[emoji23]
Sisi wahaya watu wa makabila mengine tunawaita WANYAMA-ANGA..
So utajisiaje nikikuita hivyo
 
Ni wabaguzi hawakuwafanyi kuwa special mfano wewe unatabia za kibaguzi hakukufanyi kuwa special, ubaguzi ni ujinga ndo maana kila Mahalia unapigwa vita mfano uko kwenye mikoa mingine mngekua mnatreatiwa vibaya kama mnavyotreat watu ambao sio wachaga Ila wamezaliwa na kukulia Moshi unafikiri ingekuaje na hii ndo sababu Nyerere aliwadis ni wabinafsi sana yule Babu aliona mbali sana kuhusu wachaga na hakukosea
Kusema kweli mimi ni mbaguzi sana hasa linapokuja suala la mtu mvivu na mpumbavu asiyejituma na mtu mwenye wivu kama wewe.
Hebu sema hapa hadharani wachaga huwa wanabagua watu kwenye masuala gani? Hawa dada zako walioolewa Moshi wanabaguliwa? Au ulitaka na wewe uolewe ili uone umetendewa sawa?
 
SEMA umeongea kibaguzi sana wew mnyama-anga wa kichaga.[emoji23]
Sisi wahaya watu wa makabila mengine tunawaita WANYAMA-ANGA..
So utajisiaje nikikuita hivyo
Kwa hiyo nyie kuita wengine hivyo sio ubaguzi bali wachaga ndio wabaguzi?
Sisi wachaga mnatuita majina mengi ya kibaguzi kama ulilotaja, mara mnatuita wezi, dada zetu mnasema wanaua waume zao ila huwezi sikia tunalialia kuwa mnatubagua. Tunaelewa ni namna gani mko na insecurity hivyo tunaendelea na maisha hadi mnaanza kutuiga.
 
Ishu ni kwamba hata hao kina Mvungi, Msuya, Sabuni, Minja, Mjema, Mnzava na wengine huona fahari sana kutambuliwa kama Wachaga. Wachaga ndio wamefanya kukaonekana kuko "blessed"
Mwambie awaulize hao kina Minja au msuya wanapokwenda kwao wanasema kwanini wanakwenda moshi badala ya kusema mwanga au same anakwenda
 
Boss unachosema ni kwamba kanda ya kaskazini ni maarufu sababu ya wachaga?

Serengeti, manyara, tarangire, milima ya upareni, mbulumbulu, masai mara, ngorongoro, mapango ya tanga n.k ni maarufu sababu ya uwepo wa wachaga? Kama ndicho ulichomaanisha ww ni mpotoshaji.
Wengi wanapakataa kwao
 
Kusema kweli mimi ni mbaguzi sana hasa linapokuja suala la mtu mvivu na mpumbavu asiyejituma na mtu mwenye wivu kama wewe.
Hebu sema hapa hadharani wachaga huwa wanabagua watu kwenye masuala gani? Hawa dada zako walioolewa Moshi wanabaguliwa? Au ulitaka na wewe uolewe ili uone umetendewa sawa?
Hivi unanijua mpaka unaniita mvivu, nilishakuomba msaada ili kuprove mim ni mvivu jibu ni hapana unijui

unajua umeonyesha ujinga wa kiwango Cha juu sana ndo maana nakuambia Tena wewe ni mjinga
 
Tatizo lao wachaga wana kiherehere sana kwa kila kitu na kupenda sifa za kuchonga kibwege kuumbe hamna kitu! jambo hili limewapa umaarufu sana... ..fikiria mchaga anaiba Mbuzi anamweka kwa gunia ili akauze supu mnadani....yule Mbuzi akilia Meeeheee!!

Mchaga anaanza!! '''Yelewi Meku!! acha iso bana aa! ...umelewa mbege!! sasa umeamua ku naria km mbusi eee??.... ntakuacha, babaanguuu! usiniretee maringo!! eee!! oraka msuru na Mao!! endee nyamazo mbh!raaa!aaaaa!!

Sarakasi zimewafanya wawe maarufu!!! sasa fikiria kitendo cha demu wa kichaga kukuwekea hapo ushughulikie!! Nyapu yake then yeye ana soma gazeti kabisaa!! anakwambia ''ukimarisa msee wangu niwekee pesa angu apo eee!!..kabla hujaondoka!!eee!!

km mie muongo tongoza mchaga wa kishmundu uone hawajui kukata viuno......utacheka hadi uyambe kifukuto!
 
Mwambie awaulize hao kina Minja au msuya wanapokwenda kwao wanasema kwanini wanakwenda moshi badala ya kusema mwanga au same anakwenda
Moshi Kuna makabila mengi ambao wamezaliwa na wazazi wao Wana mashamba, Kuna wapare, wasambaa wanyaturu, wamasai wengi tu wamezaliwa na kukulia Moshi na wazazi wao wanaishi Moshi mtu kama huyo akenda Moshi unataka aseme anaenda wapi

Ukienda Moshi rural kule tambarare tpc, kahe, mabogini, rundugai, chekereni ni nadra sana kukuta wachaga sababu wachaga wengi wako miliman kama kibosho, marangu, machame,n.k mtu akisema anaenda Moshi unataka aseme anaenda wapi ujinga ni kufiri Moshi wanakaa tu wachaga
 
Back
Top Bottom