Kanda ya Kaskazini si Moshi kwa wachaga tu

Yaani katika upuuzi ambao naushangaa ni huu sasa asiejua kuwa kanda ya kaskazini yanatoka hayo makabila ni nani?

Labda kama unazungumzia wakenya huko sawa ila hakuna Mtanzania asiejua makabila yanayotokea kaskazini kusema tu kuwa eti watanzania wanajua kabila linalotokea kaskazini ni wachaga tu basi utaKuwa unaanza kudata, sababu hakuna asiewajua wamasai, wapare, wameru mpaka wabarbaig sababu tunaishi nao hata huku tulipo.

Labda uje na mada nyingine ila hii perception endeleeni kujidanganya
 
Hahaha ok mkuu🤣🤣

Je voundrais que vous nous en dire plus a ce

Sasa unaonaje hii hoja ukiiandika kwa kifaransa maana umeishi nao ili wasioamini wathibitishe uhalali wa hoja yako.
Hahahahaaaaa bahati mbaya JF hamna jukwaa la Wafaransa.... Nitakuwa najiongelesha tu kama twitter
 

Yaweza kuwa ni ujinga kweli ila si uongo....
Kuna Watanzania wamekulia Dar es Salaam hata hawajui kaskazini ni wapi achilia mbali makabila yaliyopo huko. Wao wanajua huko kaskazini kuna wachaga.

Wapo wengine hawajui Kuwa wambulu na wachaga wote ni kanda ya kaskazini.

Kwasababu ww unafahamu au wengi wanafahamu haimaanishi kuwa wote wanafahamu.
 
Wachaga ndio kitovu Cha kaskazini ndio maana wako very famous widely
 
Unaposema Wamasai, ni kabila. Lakini wachaga si kabila. Nyerere ndio alilazimisha wachaga liwe kabila ( Putin na Ukrein). Wachaga ni taifa. Labda twende na muelekeo huo ndio tutajua kwanini Kaskazini ni wachaga.
 
Unaposema Wamasai, ni kabila. Lakini wachaga si kabila. Nyerere ndio alilazimisha wachaga liwe kabila ( Putin na Ukrein). Wachaga ni taifa. Labda twende na muelekeo huo ndio tutajua kwanini Kaskazini ni wachaga.
Acha upotoshaji, Kaskazini si wachagga tu..
Na kama suala la Kanda, ndio kabisa..hata Tanga ni kaskazini

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Labda tu niongezee kitu kimoja ama viwili kwa wale wasioelewa juu ya hawa jamaa zetu wachaga
I. Ni watu wa kupiga kelele za kujivuna
Kwa taarifa yako mfano hapa Arusha Kuna matajiri ambao sio wachaga ila wamenyamaza kimya
Natoa mfano namba moja Mzee anaitwa Bajuta huyu ni Muiraq (Mmang'ati
Huyu ndio Tajiri Arusha nenda TRA , Bank kuu, au Au uliza Serikali itakueleza
Marehemu Jiwe mwenyewe alimshindwa.

Domell ...Huyu ni Mang'ati mwingine

Laizer ...Huyu Masai ni hatari bado

Lowasa.. Former prime minister

Mzee Mbise ... Bado hakuna mchaga aliyewekeza hata kwa kiwango Cha Mzee Mbise huyu mwenye Mahotel ya Meru House, Arusha center inn, Arusha Tourist inn, logdes kama sarafina , Meru deluxe, nk
Magorofa mengine huko Tengeru nk...

Kuna Masai wanapesa balaa kwenye industry ya Tanzanite


Wachaga wako organized kwa kukopeshana

So wanaenda kama teamwork kwenye level yao flani tu

Hawa kina Aquiline Hotel , rich Hotel ukiwajumlisha pamoja unapata hotel moja ya SG Resort ya marehemu bilionea Msuya Hadi Leo

Tatizo mchaga akipata kidogo anapiga kelele sana Kuna watu wametulia wanahela balaa

Ndio maana Magufuli aliwapitia sana sababu ya makelele yao na bado akakuta hawana chochote

Walishindwa hata kumsaidia Lema ( Elerai construction) bilioni Saba alikuwa anadaiwa Hadi akaenda jela

Hawa ni mdomo tu hawana lolote
 
Huwezi kuwa proud kwa kuwa huna sifa za kuwa mchaga. Kuzaliwa Moshi au kama mama yako aliolewa Moshi akiwa ameshakuzaa na mwanaume mwingine hakuna namna unaweza kuwa Mchaga... Wewe ni Chasaka..
 
Wewe huoni kwa kuwaonea kwako wivu hadi unawaita wabaguzi ndio uspecial wenyewe?
 
Acha upotoshaji, Kaskazini si wachagga tu..
Na kama suala la Kanda, ndio kabisa..hata Tanga ni kaskazini

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Tanga itoke kabisa kwani hata ule mtihani wa kanda sidhani kama unafanyika sasa wa northern east maana wakifanya na Kilimanjaro lazima mitihani ivuje na inaanzia huko ni muda naona kama kanda ikafutwa

Sasa sijui hapo waliwagawa kwamba tanga haipo kanda iyo au
 
Wewe huoni kwa kuwaonea kwako wivu hadi unawaita wabaguzi ndio uspecial wenyewe?
Ni wabaguzi hawakuwafanyi kuwa special mfano wewe unatabia za kibaguzi hakukufanyi kuwa special, ubaguzi ni ujinga ndo maana kila Mahalia unapigwa vita mfano uko kwenye mikoa mingine mngekua mnatreatiwa vibaya kama mnavyotreat watu ambao sio wachaga Ila wamezaliwa na kukulia Moshi unafikiri ingekuaje na hii ndo sababu Nyerere aliwadis ni wabinafsi sana yule Babu aliona mbali sana kuhusu wachaga na hakukosea
 
Una mangamanga tu huna hoja,watu wenye akili za kimaskini lazma wawapige majungu wapambanaji hiyo ni common
 
Jibu atakuwa kalipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…