Kanda ya Ziwa: Tetemeko la Ardhi la ukubwa wa 4.5 kwa vipimo vya Richa latikisa

Kanda ya Ziwa: Tetemeko la Ardhi la ukubwa wa 4.5 kwa vipimo vya Richa latikisa

Unakaa Boman 🙉,, hiyo Geita chini ni mashimo tu, hapo ni kutafuta pesa tu,, maji ya mvua si unaona yalivokuwa na kutu? Hata ya bombani tu si umeona yalivo?
Chini ya Bomani kiongozi wangu.
Maji ya mvua kwa Geita hata Kahama si mazuri hayatakiwi kutumika kabisa ndio mana Geita Amoeba ni nje nje.

Maji yanatoka ziwa Victoria liko mgodi wa GGM yanapelekwa mpaka Katoma pale kuna matanki na si unajua kule ni mlimani kwa hiyo yanaserereka tu kwenda mitaani ng'wana ng'wise
 
Huwa nauwaza mji wa geita sipati jibu, wazungu wamejua kuuchimba aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamechimba kwenye maeneo yao tu. Wachimbaji wadogo ndio waharibifu Katoma wanachimba chimba hovyo Na wanaoishi Nyamarembo ndio wana tabu maana wako pua na mdomo na mgodi
 
Watanzania waoga mno, je ingetokea kama ya Philippines, Japan na Indonesia ingekuaje 😁 hii page ingestaki
 
Muda huu kuna tetemeko la ardhi limepita Mwanza. Limedumu kama sekunde 3
Wewe ndio unaweza ukawa sahihi maana sekunde 3 lakini lilikuwa kubwa kama lingepiga sekunde 20 kama wengine wanavyo report lingeleta madhara maana milango na kufuli kwenye grill lilicheza kwa sekundu kadhaa
 
Mzee wetu huko Chato atoke tu,kama na matetemeko yanatokea sio salama kabisa.

Sent using iphone pro max
 
Back
Top Bottom