Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp limefika Chato mkuu?Wakuu sasa hivi watoto wanalia kila nyumba, ni baada ya tetemeko kubwa sana kupita mida hii.
Taarifa zaidi inafuata wakuu
watu wa kanda ya ziwa tumewajua , asanteni sanaWakuu sasa hivi watoto wanalia kila nyumba, ni baada ya tetemeko kubwa sana kupita mida hii.
Taarifa zaidi inafuata wakuu
Hii mada niliiona humu,hakuna jinsi yona inabidi atoswe baharini
Duh hiki kiswahili! Mkuu pale Burundi unatokea mkoa gani?Wewewewe....
Usimuombee mukulu dua mbaya
Si unajua siku hizi Muzee yuko huko kapumuzika
Duh! tena munamletea Muzee matetemeko ,sasa munadhani akimbilie wapi jameni?
labda akajichimbie kule Mtwara kwa Mzee Majaliwa,
kuna tatizo kuwa kanda ya ziwa au unataka wote tutoke Ileje Mbeya? Vp Lissu bado mgombea wetu 2020watu wa kanda ya ziwa tumewajua , asanteni sana
Nilikuwa najiuliza kisa cha kutoka mapovu kwenye kila uzi unaomhusu magufuli , kumbe ni wa nyumbani !kuna tatizo kuwa kanda ya ziwa au unataka wote tutoke Ileje Mbeya? Vp Lissu bado mgombea wetu 2020
Chato pia limefika?Wakuu sasa hivi watoto wanalia kila nyumba, ni baada ya tetemeko kubwa sana kupita mida hii.
Taarifa zaidi inafuata wakuu
Basi sawa...zimefikaWasalimie sana hapo, pia wasalimie sana mitaa Balenge huku karibia na classic
kutoka googleWataalamu wetu wanasemaje?
Nimeona watoa mada reference zao ni USGS (United States Geological Survey) tu, je Department ya Geology pale Dodoma (TGS Tanzania Geological Survey) hawakutoa warning kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa? Or they didn't see this coming, kama sisi tu.
Unakaa Boman 🙉,, hiyo Geita chini ni mashimo tu, hapo ni kutafuta pesa tu,, maji ya mvua si unaona yalivokuwa na kutu? Hata ya bombani tu si umeona yalivo?Bomani kuna mashimo wapi?
Au unazungumzia Katoma?
Huwa nauwaza mji wa geita sipati jibu, wazungu wamejua kuuchimba aisee
Sent using Jamii Forums mobile app