bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngosha kakimbia corona, tetemeko lisilodhibitiwa na usalama limeamua kumfuata tehe tehe. Kifo hakikimbiwi tuchunge matendo yetu tu.Jamanii muda si mrefu tumepitiwa na tetemeko la ardhi hapa Ushirombo
Ni tetemeko Dogo limedumu kwa sekunde kadhaa
Tuwaombee wenzetu wa Bukoba/Kagera na Chato.
View attachment 1429569
View attachment 1429570
Huku ni corona tuNikiriport kutoka Dar es salaam, bado halijapita kabisaaa....
Hivi kuna warning za tetemeko.......!!?Wataalamu wetu wanasemaje?
Nimeona watoa mada reference zao ni USGS (United States Geological Survey) tu, je Department ya Geology pale Dodoma (TGS Tanzania Geological Survey) hawakutoa warning kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa? Or they didn't see this coming, kama sisi tu.
Ni Geological Survey of Tanzania GST sio hio ulotaja hapo....Ila m pia naungana na wewe kwanini wasiwe wao wa kutujuza kilichojili badala yake tunategemea USWataalamu wetu wanasemaje?
Nimeona watoa mada reference zao ni USGS (United States Geological Survey) tu, je Department ya Geology pale Dodoma (TGS Tanzania Geological Survey) hawakutoa warning kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa? Or they didn't see this coming, kama sisi tu.
Hadi sasa hakuna ishara ambayo huwa inawaweza onesha kuwa tetemeko litatokeaWataalamu wetu wanasemaje?
Nimeona watoa mada reference zao ni USGS (United States Geological Survey) tu, je Department ya Geology pale Dodoma (TGS Tanzania Geological Survey) hawakutoa warning kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa? Or they didn't see this coming, kama sisi tu.
Acheni kutisha watu walioko chatoJamanii muda si mrefu tumepitiwa na tetemeko la ardhi hapa Ushirombo
Ni tetemeko Dogo limedumu kwa sekunde kadhaa
Tuwaombee wenzetu wa Bukoba/Kagera na Chato.
View attachment 1429569
View attachment 1429570
Kuna rafiki yangu mkenya anafanya research ya kukusanya seismic signal patterns ili kuweza kudefine discriminant line kati ya kutokea na kutotokea kwa tetemeko. Ana vifaa vinavyokuwa vinarekodi seismic activities ardhini. ila ninachooana anapokwama ni kuwa anakusanya data sehemu moja halafu tetemeko linatokea sehemu nyingine. Katika sehemu zote ambazo amewahi kukusanya data huwa ni baada ya tetemeko kutokea na sidhani kama hiyo itasaidia kutabiri matokeo ya matetemeko. Ila inavyoonekana ni kuwa wataalamu wa matetemeko wanalifuatilia jambo hilo kwa karibu sana.Hadi sasa hakuna ishara ambayo huwa inawaweza onesha kuwa tetemeko litatokea
Sent using Jamii Forums mobile app
nimelisikia Geita hapa , limedumu kama dakika moja, hili ndio tetemeko kubwa zaidi nililowahi kulisikiaMuda huu kuna tetemeko la ardhi limepita Mwanza. Limedumu kama sekunde 3
lazima kama kuna ghorofa zilijengwa chini ya kiwango zimeanguka, yan mkuu lilikuwa kubwa utadhani kuna mtu anakutingishia kitandaTetemeko dakika moja mkuu?? Si nyumba zote zitakuwa chini? La ukubwa gani?
Kakobe aliwambia mtubu mkampeleka uhamiaji na TRABWANA asipoulinda Mji wakeshao wafanya kazi bure.
Umekimbia Corona Dar umefuatwa na Tetemeko Geita.
Sent using Jamii Forums mobile app