Kanda ya Ziwa: Tetemeko la Ardhi la ukubwa wa 4.5 kwa vipimo vya Richa latikisa

Kanda ya Ziwa: Tetemeko la Ardhi la ukubwa wa 4.5 kwa vipimo vya Richa latikisa

Halafu nyumba zetu za zege, mtetemeko kidogo tu jumba linakongoroka.
 
Jmani hivi bado kuna bati za rangi zinazopauka baada ya muda mfupi kuwezekewa??? wenye uelewa mtusaidie jamani mifuko yetu midogo na tunaogopa kushikishwa wadau
 
Wataalamu wetu wanasemaje?

Nimeona watoa mada reference zao ni USGS (United States Geological Survey) tu, je Department ya Geology pale Dodoma (TGS Tanzania Geological Survey) hawakutoa warning kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa? Or they didn't see this coming, kama sisi tu.
Hivi kuna warning za tetemeko.......!!?
 
Wataalamu wetu wanasemaje?

Nimeona watoa mada reference zao ni USGS (United States Geological Survey) tu, je Department ya Geology pale Dodoma (TGS Tanzania Geological Survey) hawakutoa warning kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa? Or they didn't see this coming, kama sisi tu.
Ni Geological Survey of Tanzania GST sio hio ulotaja hapo....Ila m pia naungana na wewe kwanini wasiwe wao wa kutujuza kilichojili badala yake tunategemea US
 
Wataalamu wetu wanasemaje?

Nimeona watoa mada reference zao ni USGS (United States Geological Survey) tu, je Department ya Geology pale Dodoma (TGS Tanzania Geological Survey) hawakutoa warning kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa? Or they didn't see this coming, kama sisi tu.
Hadi sasa hakuna ishara ambayo huwa inawaweza onesha kuwa tetemeko litatokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi sasa hakuna ishara ambayo huwa inawaweza onesha kuwa tetemeko litatokea

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna rafiki yangu mkenya anafanya research ya kukusanya seismic signal patterns ili kuweza kudefine discriminant line kati ya kutokea na kutotokea kwa tetemeko. Ana vifaa vinavyokuwa vinarekodi seismic activities ardhini. ila ninachooana anapokwama ni kuwa anakusanya data sehemu moja halafu tetemeko linatokea sehemu nyingine. Katika sehemu zote ambazo amewahi kukusanya data huwa ni baada ya tetemeko kutokea na sidhani kama hiyo itasaidia kutabiri matokeo ya matetemeko. Ila inavyoonekana ni kuwa wataalamu wa matetemeko wanalifuatilia jambo hilo kwa karibu sana.
 
Tetemeko dakika moja mkuu?? Si nyumba zote zitakuwa chini? La ukubwa gani?
lazima kama kuna ghorofa zilijengwa chini ya kiwango zimeanguka, yan mkuu lilikuwa kubwa utadhani kuna mtu anakutingishia kitanda
 
BWANA asipoulinda Mji wakeshao wafanya kazi bure.
Umekimbia Corona Dar umefuatwa na Tetemeko Geita.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kakobe aliwambia mtubu mkampeleka uhamiaji na TRA
GettyImages-130010419.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom