Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzeebaba kafwatwa huko huko Chattle!
Wanalilia nini?Wakuu sasa hivi watoto wanalia kila nyumba, ni baada ya tetemeko kubwa sana kupita mida hii.
Taarifa zaidi inafuata wakuu
Umetoka uchi au na nguo?Mi pia nimehisi ikabidi nitoke nje kwanza
Watoto saa sita hawajalala?Wakuu sasa hivi watoto wanalia kila nyumba, ni baada ya tetemeko kubwa sana kupita mida hii.
Taarifa zaidi inafuata wakuu
Naona wadau wana report pia tetemeko kupita Geita so huenda na huko limepitaChatou vipi halikupita?
In God we Trust
Nyumba ya Wenje imeanguka ukutaVipi chatou wamesalimika?
In God we Trust
Mkuu nililala buzuruga Jana, nimelisikia, muda huo nilikuwa macho ikabidi nitoke niangalie ni nini.Nipo Buzuruga huku sijasikia
Wataalamu wetu wanasemaje?
Nimeona watoa mada reference zao ni USGS (United States Geological Survey) tu, je Department ya Geology pale Dodoma (TGS Tanzania Geological Survey) hawakutoa warning kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa? Or they didn't see this coming, kama sisi tu.
🤣🤣🤣🤣🤣! Na ni mwoga kweli huyu mzee ..mie nachekaga aliposema alijikuta ICU uchi alipotolewa jino🤣🤣🤣🤣..siwez sahau jaman
siku nyingine usikimbilie nje kwanza angalia usalama wako sehemu salama ya kujiokoa kukiwa na tetemeko ukiwa nyumbani ni chini uvungu wa kitanda na km upo mbali na chumba kaa/kimbilia sehemu ya wazi kabisa ambapo hakuna miti .Nipo kahama pia,,nlikua nipo bed nmeshangaa kitanda kinacheza mpaka ikabid nitoke nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha wanalilia nini sasa?! Siku nyingi sikuoni, ulimkimbia salary Slip kabisa?
jadili mada na si watu!Hahaha wanalilia nini sasa?! Siku nyingi sikuoni, ulimkimbia salary Slip kabisa?