Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Hakuna uhusianoHivi hawa marekani wanatutaka nini? Wanaona wivu kwa maendeleo tunayoletewa na rais wetu,mabeberu hawa shida sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna uhusianoHivi hawa marekani wanatutaka nini? Wanaona wivu kwa maendeleo tunayoletewa na rais wetu,mabeberu hawa shida sana
Simu yako iliisha chaji???
Hahaha wanalilia nini sasa?! Siku nyingi sikuoni, ulimkimbia salary Slip kabisa?Wakuu sasa hivi watoto wanalia kila nyumba, ni baada ya tetemeko kubwa sana kupita mida hii.
Taarifa zaidi inafuata wakuu
Nimelishuhudia tetemeko hili muda huo nilioutaja nikiwa Katika Wilaya ya Mbogwe ( Masumbwe) na mpaka muda huu mbwa wanabweka kuashiria tukio hilo.
Kama umelisikia na wewe kutoka popote pale tujaribu kupeana uzoefu.
Kwa majibu wa US Geological Survey tetemeko hili linaonekana kuwa na kiwango cha 4.5 na limeyokea saa 00:07 kilometa 47 kutokea Nyangwale kutoka hapa nilipo.
Tetemeko dakika moja mkuu?? Si nyumba zote zitakuwa chini? La ukubwa gani?
Nimelishuhudia tetemeko hili muda huo nilioutaja nikiwa Katika Wilaya ya Mbogwe ( Masumbwe) na mpaka muda huu mbwa wanabweka kuashiria tukio hilo.
Kama umelisikia na wewe kutoka popote pale tujaribu kupeana uzoefu.
Kwa majibu wa US Geological Survey tetemeko hili linaonekana kuwa na kiwango cha 4.5 na limeyokea saa 00:07 kilometa 47 kutokea Nyangwale kutoka hapa nilipo.
Limemfata huko huko?mwanza ndio limepita, sekunde kama 47 hivi.....Aliyepo Chato tunaomba updates!
Ripoti yao litasema liikuwa liwe la 6.02 lakini kutokana na juhudi basi limepungua kasi wenyewe hasa baada ya tetemeko kujuwa yuko maeneo hayo!Wataalamu wetu wanasemaje?
Nimeona watoa mada reference zao ni USGS (United States Geological Survey) tu, je Department ya Geology pale Dodoma (TGS Tanzania Geological Survey) hawakutoa warning kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa? Or they didn't see this coming, kama sisi tu.
Limemfuata Mzee??
Hayo maeneo kuna trafki wanapga sana tochi,, mda huu washawai,,Sima, sengerema saa 00:12 limetikisa haswa.