Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi hapoWakuu sasa hivi watoto wanalia kila nyumba, ni baada ya tetemeko kubwa sana kupita mida hii.
Taarifa zaidi inafuata wakuu
Chato inalindwa sasa hivi sababu mkuu yupo kule hivyo si rahisi lipite kuleDakika 20 zilizopita hapa Kahama limepita, ni kubwa sana sijawah kuexperience
Sent using Jamii Forums mobile app
Linakimbia COVID-19Jamanii muda si mrefu tumepitiwa na tetemeko la ardhi hapa Ushirombo
Ni tetemeko Dogo limedumu kwa sekunde kadhaa
Tuwaombee wenzetu wa Bukoba/Kagera na Chato.
View attachment 1429569
View attachment 1429570
Wakuu sasa hivi watoto wanalia kila nyumba, ni baada ya tetemeko kubwa sana kupita mida hii.
Taarifa zaidi inafuata wakuu
Nadhani TISS na PolePole watatupa majibu sahihi zaidi na ya kitaalamu, hivyo tuendelee kuwa na subira. Nina uhakika TISS watakuwa waliliona mapema kabla halijafika Mwanza.Wataalamu wetu wanasemaje?
Nimeona watoa mada reference zao ni USGS (United States Geological Survey) tu, je Department ya Geology pale Dodoma (TGS Tanzania Geological Survey) hawakutoa warning kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa? Or they didn't see this coming, kama sisi tu.
Hivi hawa marekani wanatutaka nini? Wanaona wivu kwa maendeleo tunayoletewa na rais wetu,mabeberu hawa shida sanaUS Geologigal Survey wameonesha ni tetemeko lenye kiwango cha 4.5 na kwa hapa nilipo linaonekana kutokea km 47 kutoka Nyanghwale.