Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Hapa Chato limepita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko Mkolani, Mkoani Mwanza, tetemeko limepita kweli, limetumia kama sekunde 5-10 hiviNimelishuhudia tetemeko hili muda huo nilioutaja nikiwa Katika Wilaya ya Mbogwe ( Masumbwe) na mpaka muda huu mbwa wanaweza kuashiria tukio hilo.
Kama umelisikia na wewe kutoka popote pale tujaribu kupeana uzoefu.
itakua upo kwenye daladalaNipo Buzuruga huku sijasikia
Earthquake Tracker wanaonyesha lina 4.5 ambalo si kubwa sana 4.5 magnitude earthquake near Masumbwe, Geita, Tanzania and Kigali, Rwanda : April 24, 2020 21:07
Siyo kubwa sana ni 4.5 limetokea Masumbwe Geita na ni mara ya pili hapo Masumbwe katika week hii 4.5 magnitude earthquake near Masumbwe, Geita, Tanzania and Kigali, Rwanda : April 24, 2020 21:07Wakuu sasa hivi watoto wanalia kila nyumba, ni baada ya tetemeko kubwa sana kupita mida hii.
Taarifa zaidi inafuata wakuu
Mwanza limetikisa si chini ya 50secs nyumba imeshake nkajua tayari zimefikaEarthquake Tracker wanaonyesha hakuna earthquake Tanzania labda hawaja update database yao au hilo limetokea nchi jirani lakini likafika mpaka kanda ya ziwa!
Sie wa Dsm tutabaki kusikia tu...tetemeko letu ni CORONA.Jamanii muda si mrefu tumepitiwa na tetemeko la ardhi hapa Ushirombo
Ni tetemeko Dogo limedumu kwa sekunde kadhaa
Tuwaombee wenzetu wa Bukoba/Kagera na Chato.
Kama ni mar ya pili bac hii ni aftershockSiyo kubwa sana ni 4.5 limetokea Masumbwe Geita na ni mara ya pili hapo Masumbwe katika week hii
Hatari sana