Chini ya Bomani kiongozi wangu.Unakaa Boman π,, hiyo Geita chini ni mashimo tu, hapo ni kutafuta pesa tu,, maji ya mvua si unaona yalivokuwa na kutu? Hata ya bombani tu si umeona yalivo?
Wamechimba kwenye maeneo yao tu. Wachimbaji wadogo ndio waharibifu Katoma wanachimba chimba hovyo Na wanaoishi Nyamarembo ndio wana tabu maana wako pua na mdomo na mgodiHuwa nauwaza mji wa geita sipati jibu, wazungu wamejua kuuchimba aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Usichukulie serious sana, hakuna kinachovunwa humu.jadili mada na si watu!
Niko salama. Umepotea kweli!!!!!!NAKWEDE upo salama mama yangu?
Wewe ndio unaweza ukawa sahihi maana sekunde 3 lakini lilikuwa kubwa kama lingepiga sekunde 20 kama wengine wanavyo report lingeleta madhara maana milango na kufuli kwenye grill lilicheza kwa sekundu kadhaaMuda huu kuna tetemeko la ardhi limepita Mwanza. Limedumu kama sekunde 3
Watu wana fix sana yaani limepiga sekunde not more than sekunde 4 lakini lilikuwa la nguvu kiaina yaani sekunde 10 to 15 lingeleta nyufaTetemeko dakika moja mkuu?? Si nyumba zote zitakuwa chini? La ukubwa gani?
Mihangaiko tu ya hapa na pale. Kama upo salama hii ni habari njemaNiko salama. Umepotea kweli!!!!!!
Mie hata hilo tetemeko sikulisikia kabisa, ila pombe hizi yaani unalala kama nusu kufa! hahahahaMihangaiko tu ya hapa na pale. Kama upo salama hii ni habari njema
Si mchezo utakuja amka malaika Gabriel anafanya role callMie hata hilo tetemeko sikulisikia kabisa, ila pombe hizi yaani unalala kama nusu kufa! hahahaha