Kandida inapunguza hamu ya tendo la ndoa

Kandida inapunguza hamu ya tendo la ndoa

Na mfungo wote huu jamani mnahitaji hamu tu. Yaani saa hizi kila mtu anatakiwa awe amefunga.
 
Kandida inapunguza hamu ya tendo la ndoa
Jamani wanawake au wanaume tuwemakini na haraka kwenda hospitali tunapohisi unadalili za UTI kwa sababu UTI ikiwa sugu usababisha bacteria wa kandida ambao baadae uleta shida ya kutopata hamu ya tendo la ndoa
Candida sio Bacteria..

Candida Albicans ni Fungi, Anasababisha Fungus
 
Mtoa maada umekosea rekebisha hapo.

Candida( candidiasis) fungal infection

UTI ni broad (elephant 🐘 term) to generalise any kind of infection kwenye njia au mfumo wa mkojo ambayo inaweza kuwa ni fungus au bacteria etc

Umeshauri vyema watu waende hospital... pia wamalize dose.
 
Kandida inapunguza hamu ya tendo la ndoa
Jamani wanawake au wanaume tuwemakini na haraka kwenda hospitali tunapohisi unadalili za UTI kwa sababu UTI ikiwa sugu usababisha bacteria wa kandida ambao baadae uleta shida ya kutopata hamu ya tendo la ndoa
hilo ni jambo muhimu na la maana sana kuzingatia kiafya 🐒

Kumbuka pia kupiga punyeto kwa muda mrefu kuna punguza hamu ya kujamiiana kupitia mbususu halisi 🐒
 
Kandida inapunguza hamu ya tendo la ndoa
Jamani wanawake au wanaume tuwemakini na haraka kwenda hospitali tunapohisi unadalili za UTI kwa sababu UTI ikiwa sugu usababisha bacteria wa kandida ambao baadae uleta shida ya kutopata hamu ya tendo la ndoa
Wewe kama ulikumbia somo la bailojia usiandike mada kama hizi, unaonekana kituko kati ya vituko, ninecheka saaaana eti bacteria aina ya kandida 😄😃😀😁😆😅🤣😂
Biology ya form one au sayansi ya darasa la sita na saba hukuelewa kabisa ndugu
 
Kandida inapunguza hamu ya tendo la ndoa
Jamani wanawake au wanaume tuwemakini na haraka kwenda hospitali tunapohisi unadalili za UTI kwa sababu UTI ikiwa sugu usababisha bacteria wa kandida ambao baadae uleta shida ya kutopata hamu ya tendo la ndoa
Candida ni fungus na siyo bacteria kama ulivyo dai.
 
Back
Top Bottom