Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Dawa yake ni nini,maana wananisumbua hao mapajani nimepaka dawa wapi.Candida sio Bacteria..
Candida Albicans ni Fungi, Anasababisha Fungus
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa yake ni nini,maana wananisumbua hao mapajani nimepaka dawa wapi.Candida sio Bacteria..
Candida Albicans ni Fungi, Anasababisha Fungus
UTI haiambukizwi kwa sexMtoa maada umekosea rekebisha hapo.
Candida( candidiasis) fungal infection
UTI ni broad (elephant [emoji208] term) to generalise any kind of infection kwenye njia au mfumo wa mkojo ambayo inaweza kuwa ni fungus au bacteria etc
Umeshauri vyema watu waende hospital... pia wamalize dose.
The term is candida na sio kandida sijui kadinda na sio bacteria ni fungus.Ni bacteria anae sababisha fangasi mwilini
Candidiasis is a fungal infection caused by a yeast (a type of fungus) called CandidaKandida inapunguza hamu ya tendo la ndoa
Jamani wanawake au wanaume tuwemakini na haraka kwenda hospitali tunapohisi unadalili za UTI kwa sababu UTI ikiwa sugu usababisha bacteria wa kandida ambao baadae uleta shida ya kutopata hamu ya tendo la ndoa
Leejay49Ni bacteria anae sababisha fangasi mwilini
Duuuuh kumbehilo ni jambo muhimu na la maana sana kuzingatia kiafya 🐒
Kumbuka pia kupiga punyeto kwa muda mrefu kuna punguza hamu ya kujamiiana kupitia mbususu halisi 🐒
Ni mafiramason na mapungakristoWaislam wamefunga na wakristo wamefunga, Sasa hawa ambao hawajafunga ni akina nani?
Wafuasi wa dini za asili, wapagani, hata kwa Wakristo kuna madhehebu mengi tu wasiotambua KwaresmaWaislam wamefunga na wakristo wamefunga, Sasa hawa ambao hawajafunga ni akina nani?
candida haikai Mapajani chief..Dawa yake ni nini,maana wananisumbua hao mapajani nimepaka dawa wapi.
Kwamba🤔🤒
Ona bacteria anayesababisha fangasi mwilini, hahaKwamba🤔🤒
Nimemuoa mkuu😃😃Ona bacteria anayesababisha fangasi mwilini, haha
Kwa njia rahisi Kila Mmoja awe ana kandida kuzuia hiyo hamuNa mfungo wote huu jamani mnahitaji hamu tu. Yaani saa hizi kila mtu anatakiwa awe amefunga.
Sio bacteria ni aina ya fungus.Ni bacteria anae sababisha fangasi mwilini
Tafuta dawa ya kunywa, nenda hospital utapata matibabu.Dawa yake ni nini,maana wananisumbua hao mapajani nimepaka dawa wapi.
Duuh aisee tang Lin fungus ikaw bacteria Yan mtu anaandik vitu Hana navyo uelewa naanza kupata mashaka na vingi tunavyopost humu havina link na ukwel ni just mtu anaskia kitu kwa watu anakimbia kuelimisha wengne kumbe anapoteza wengi.Kandida inapunguza hamu ya tendo la ndoa
Jamani wanawake au wanaume tuwemakini na haraka kwenda hospitali tunapohisi unadalili za UTI kwa sababu UTI ikiwa sugu usababisha bacteria wa kandida ambao baadae uleta shida ya kutopata hamu ya tendo la ndoa