Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Ni bacteria anae sababisha fangasi mwiliniKandida ndio nini elezea zaidi.
Candida sio Bacteria..Kandida inapunguza hamu ya tendo la ndoa
Jamani wanawake au wanaume tuwemakini na haraka kwenda hospitali tunapohisi unadalili za UTI kwa sababu UTI ikiwa sugu usababisha bacteria wa kandida ambao baadae uleta shida ya kutopata hamu ya tendo la ndoa
Candida Candida - Google SearchBacteria gani mwenye jina la kienyeji?
Kandida (Candida) siyo bacteria ni fungusNi bacteria anae sababisha fangasi mwilini
Una kiwango gani Cha elimuWaislam wamefunga na wakristo wamefunga, Sasa hawa ambao hawajafunga ni akina nani?
hilo ni jambo muhimu na la maana sana kuzingatia kiafya πKandida inapunguza hamu ya tendo la ndoa
Jamani wanawake au wanaume tuwemakini na haraka kwenda hospitali tunapohisi unadalili za UTI kwa sababu UTI ikiwa sugu usababisha bacteria wa kandida ambao baadae uleta shida ya kutopata hamu ya tendo la ndoa
Wewe kama ulikumbia somo la bailojia usiandike mada kama hizi, unaonekana kituko kati ya vituko, ninecheka saaaana eti bacteria aina ya kandida ππππππ π€£πKandida inapunguza hamu ya tendo la ndoa
Jamani wanawake au wanaume tuwemakini na haraka kwenda hospitali tunapohisi unadalili za UTI kwa sababu UTI ikiwa sugu usababisha bacteria wa kandida ambao baadae uleta shida ya kutopata hamu ya tendo la ndoa
KumbeKandida (Candida) siyo bacteria ni fungus
wa budhaWaislam wamefunga na wakristo wamefunga, Sasa hawa ambao hawajafunga ni akina nani?
Mimi nimefunga mlangoNa mfungo wote huu jamani mnahitaji hamu tu. Yaani saa hizi kila mtu anatakiwa awe amefunga.
Candida ni fungus na siyo bacteria kama ulivyo dai.Kandida inapunguza hamu ya tendo la ndoa
Jamani wanawake au wanaume tuwemakini na haraka kwenda hospitali tunapohisi unadalili za UTI kwa sababu UTI ikiwa sugu usababisha bacteria wa kandida ambao baadae uleta shida ya kutopata hamu ya tendo la ndoa