Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

Wote tumesikiliza alichokiongea mwisho alisema "jina la magufuli libarikiwe".
 
Ndo afananishwe na yesu?
Then utamsifiaje mwanaume mwenzako kiasi kile?
Wengine inabidi wachunguzwe Kama Malinda bado yapo
Hajamaanisha Magufuli ni kama Yesu. Bali katika kutatua kero za wananchi anafuata nyayo za Yesu maana anazitatua on the spot kama Yesu.
 
Bado hajasamehewa
Ndiyo anatafuta kusamehewa
 
Kangi Lugola ni mwizi wa Mali ya umma, Magufuli naye ni mwizi, mtu hawezi kuiba trillion bila rais kujua.
Wanatuchezea akili zetu
Apo sasa. Wamepunguziwa deni la la $13m na IMF wametukuza ile mbaya. Leo et waibiwe 1triliin bila Rais kujua????? Usanii tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
LENGO LA KUMFANANISHA JIWE NA MBOWE NI NINI?

Jiwe ana chuki ya wazi na Mbowe na cdm kwa ujumla, hivyo hao akina Lugola washamsomea ramani anapenda nini. Kwahiyo kuitaja cdm au Mbowe kwa lugha ya dhihaka ni sehemu ya kuchukua pointi za mezani.
 
Kwani kuna pesa ilikwapuliwa? Walikuwa bado kwenye stage za kutengeza Mou. Kumbuka tril 1.2 ni zaidi ya escrow scandal . Inawezekana iachwe hivi hivi?
Kama 1.5,Lugumi,Richmond,KAGODA iliachwa hivyo...apo hamna jipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…