Eti na huyu ni mwanamume , ana watoto wanasema tuna Baba! Ana mke anasema nina mume? Litakuwa shoga hili! akisema nipe litampa , linakera sana mpaka mtu unasema ambayo singeliyasema!Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:
Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"
Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Nahisi vetting huangalia nani anasifia niniHivi vetting ya kumpa mtu uwaziri awamu hii ikoje? Huyu jamaa mbona namuonaga mweupe sana alipataje uwaziri! Huyu pamoja na Khamis.
Hahaaaaaa.........😁😁Nahisi vetting huangalia nani anasifia nini
Hivi mnajitoaje ufahamu kwa kushabikia kauli za kufuru kama hizi? Hata kama mnaona aliyesema yuko upande wenu na amempamba mnayetaka apambwe, lakini apambwe kwa kumkufuru Mungu? Hata kama wewe ni muislamu na haukubali uungu wa Yesu kwa maana kauli ya Magufuli kuwa sawa na Yesu haikushitui, lakini jina la Magufuli KUHIMIDIWA unaona sawa? Tafuta kamusi angalia "HIMIDI"!! Soma vitabu vya dini yako angalia ni nani apasaye KUHIMIDIWA?Nendeni na hii hoja kwenye kampeni ili Magufuli ashindwe,!
Alafu sijui kampeni mtaoigaje maana mnasema corona imejaa,
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Ufala wangu ni upi?Fala Wewe
Hayo ni mawazo yake binafsi na wala si jamii yote ina mawazo kama yake hivyo apambane tu na hali yake.Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:
Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"
Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Hao jamaa wote ni weupe hauitaji hata kuwa msomi kuliona hiloHivi vetting ya kumpa mtu uwaziri awamu hii ikoje? Huyu jamaa mbona namuonaga mweupe sana alipataje uwaziri! Huyu pamoja na Khamis.
Huyo ni wa kumpuuzia tu. Anapigania nafasi yake ya ubunge maana Musiba nae anagombea jimbo la Mwibara. Kura za maoni huwa sio mwisho. Mwenye wino wa mwisho ni mwenyekiti wa Chama.Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:
Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"
Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:
Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"
Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Mbona hakuo gelea dini yoyote? Yesu siyo wa dini tu, ni wa wanadamu wote hata Lugola mwenyewe. Hivyo hivyo alivyo Rais Magufuli - siyo Rais wa WANACCM tu ni Rais wa waTanzania wote pamoja na wewe na wanaCHADEMA! Msikasilike.lugola asulibishwe kwa kukashifu dini yetu mpuuzi sana
Mapambo yakizidi hugeuka uchafuDuh,
Haya makufuru yamezidi yanachosha Sasa.
Kangi Lugola alikuwa mwanafunzi wa Magufuli katika shule ya secondary.Hivi vetting ya kumpa mtu uwaziri awamu hii ikoje? Huyu jamaa mbona namuonaga mweupe sana alipataje uwaziri! Huyu pamoja na Khamis.
Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:
Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"
Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Duh,
Haya makufuru yamezidi yanachosha Sasa.
Wanapambana ili awakumbuke kwenye ufalme wake wa hapa dunani.
Anachokitafuta atakipata
lugola asulibishwe kwa kukashifu dini yetu mpuuzi sana
Kumbuka cheo alichokuwa nacho, siro wanatoka sehemu gani ya nchiHivi vetting ya kumpa mtu uwaziri awamu hii ikoje? Huyu jamaa mbona namuonaga mweupe sana alipataje uwaziri! Huyu pamoja na Khamis.
Nani amekwambia Yesu ni Mungu?
Wanasiasa ni wanafiki sana mnatumia migongo ya wananchi kufanikisha mambo yenu...