Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

Tusubiri kauli hiyo ikitiliwa mkazo na Gwajima mzee wa Uno, Mzee wa upako na Mashimo tena kwa vifungu na mistari ya biblia.
Haya wakristo wanaccm kumbe Yesu mnaye ndani ya chama chenu? Hakika endeleeni kuonyesha imani yenu thabiti kwa Yesu wenu.
 
"Rais @MagufuliJP amekuwa kama Yesu Kristo, Watanzania wanamlilia na kumfuata na ndiyo maana hata aliponitengua nilisema, ulinipa heshima ya huu Uwaziri na leo umeutwaa, jina la Magufuli libarikiwe" -Kangi Lugola. https://t.co/oj5Fe0vJh9

Rais John Magufuli ni lulu ya Watanzania, Mheshimiwa Magufuli amejenga heshima ya Taifa hili na ndio maana liko kwenye kilele cha juu cha kutenda haki machoni mwa Watanzania - Kangi Lugola. #HATUCHUJI #KwanzaHabari https://t.co/hjT17j22wL
Wenzako wameshamjulia anapenda kuabudiwa. Hapo anapalilia tumbo lake. Njaa haina aibu.
 
Bibilia ni kitabu ambacho hakifundishi kisasi juu ya kisasi,
Biblia inasema, kisasi ni juu ya Bwana Mungu wa Majeshi,

Ujinga wa huyo njemba, Mungu atashughurika naye,
Biblia pia inasema, wengine watatokea watajiita Wao ni Yesu

Biblia iliwaona watu hao wote
 
JF katika ubora wake, hii nayo ni Thread ipo kwenye siasa. Ukianzisha mambo ya msingi kwenye Siasa yananyofolewa kwa sababu tu wanataka kwenye Siasa kupinga Serikali. Hongereni sana.
 
Si amemsamehe.Yaani kwa sasa kila mtu amabye hayuko upinzani anajiuliza anatokaje ili anayefananishwa na Yesu amwone.Njaa mbaya jamani mimi nimemwomba sana Mungu nisifikie hapo ni udhalilishaji na dhihaka kumfananisha binadamu mwenzako na Yesu
 
Asilimia 100


Si unasema Yesu hafanani na kitu chochote ??!! Hayaa, hebu tumsikie yeye mwenyewe anajifananisha na kitu gani;

Yesu anasema; "Mimi ni mzabibu na nyinyi ni matawi----" (Yohana 15:5).

Wewe na Yesu nani anasema kweli???
 
"Rais @MagufuliJP amekuwa kama Yesu Kristo, Watanzania wanamlilia na kumfuata na ndiyo maana hata aliponitengua nilisema, ulinipa heshima ya huu Uwaziri na leo umeutwaa, jina la Magufuli libarikiwe" -Kangi Lugola. https://t.co/oj5Fe0vJh9

Rais John Magufuli ni lulu ya Watanzania, Mheshimiwa Magufuli amejenga heshima ya Taifa hili na ndio maana liko kwenye kilele cha juu cha kutenda haki machoni mwa Watanzania - Kangi Lugola. #HATUCHUJI #KwanzaHabari https://t.co/hjT17j22wL
Sina uhakika kama mleta uzi anataka kuleta vita ya kidini kwa mgongo wa siasa
 
Mungu usitilie maanani maneno ya wapumbavu. Huyu ni msakatonge anayeabudu tumbo kiriba lake.
 
Hivi watanzania ule utaratibu wetu wa kuapa kwa vitabu vya Mungu tunaushika kweli?
Mbona haya yanatokea na hakuna anaediriki kusema?

Yesu kristo Ni mwokozi wetu sore tulioamua kumfata na hafananishwi na binadamu.
Watanzania tuna akili sana tunaangalia na msemaji mwenyewe, ubishane na mtu mwenye kuvaa suti iliyomzidi umbo na mifuko ya bendera ya nchi, si utakuwa tahira
 
Back
Top Bottom