Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Tusubiri kauli hiyo ikitiliwa mkazo na Gwajima mzee wa Uno, Mzee wa upako na Mashimo tena kwa vifungu na mistari ya biblia.
Haya wakristo wanaccm kumbe Yesu mnaye ndani ya chama chenu? Hakika endeleeni kuonyesha imani yenu thabiti kwa Yesu wenu.
Haya wakristo wanaccm kumbe Yesu mnaye ndani ya chama chenu? Hakika endeleeni kuonyesha imani yenu thabiti kwa Yesu wenu.