kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
[emoji1][emoji1] huyo Ni Mr masuti / kiuno bila mfupa.Watanzania tuna akili sana tunaangalia na msemaji mwenyewe, ubishane na mtu mwenye kuvaa suti iliyomzidi umbo na mifuko ya bendera ya nchi, si utakuwa tahira