Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

Tusubiri kauli hiyo ikitiliwa mkazo na Gwajima mzee wa Uno, Mzee wa upako na Mashimo tena kwa vifungu na mistari ya biblia.
Haya wakristo wanaccm kumbe Yesu mnaye ndani ya chama chenu? Hakika endeleeni kuonyesha imani yenu thabiti kwa Yesu wenu.
 
Wenzako wameshamjulia anapenda kuabudiwa. Hapo anapalilia tumbo lake. Njaa haina aibu.
 
Bibilia ni kitabu ambacho hakifundishi kisasi juu ya kisasi,
Biblia inasema, kisasi ni juu ya Bwana Mungu wa Majeshi,

Ujinga wa huyo njemba, Mungu atashughurika naye,
Biblia pia inasema, wengine watatokea watajiita Wao ni Yesu

Biblia iliwaona watu hao wote
 
JF katika ubora wake, hii nayo ni Thread ipo kwenye siasa. Ukianzisha mambo ya msingi kwenye Siasa yananyofolewa kwa sababu tu wanataka kwenye Siasa kupinga Serikali. Hongereni sana.
 
Si amemsamehe.Yaani kwa sasa kila mtu amabye hayuko upinzani anajiuliza anatokaje ili anayefananishwa na Yesu amwone.Njaa mbaya jamani mimi nimemwomba sana Mungu nisifikie hapo ni udhalilishaji na dhihaka kumfananisha binadamu mwenzako na Yesu
 
Asilimia 100


Si unasema Yesu hafanani na kitu chochote ??!! Hayaa, hebu tumsikie yeye mwenyewe anajifananisha na kitu gani;

Yesu anasema; "Mimi ni mzabibu na nyinyi ni matawi----" (Yohana 15:5).

Wewe na Yesu nani anasema kweli???
 
Sina uhakika kama mleta uzi anataka kuleta vita ya kidini kwa mgongo wa siasa
 
Mungu usitilie maanani maneno ya wapumbavu. Huyu ni msakatonge anayeabudu tumbo kiriba lake.
 
Hivi watanzania ule utaratibu wetu wa kuapa kwa vitabu vya Mungu tunaushika kweli?
Mbona haya yanatokea na hakuna anaediriki kusema?

Yesu kristo Ni mwokozi wetu sore tulioamua kumfata na hafananishwi na binadamu.
Watanzania tuna akili sana tunaangalia na msemaji mwenyewe, ubishane na mtu mwenye kuvaa suti iliyomzidi umbo na mifuko ya bendera ya nchi, si utakuwa tahira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…