Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani amekwambia Yesu ni Mungu?Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:
Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"
Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Atueleze Magufuli amemfufua nani ili tumwombe amfufue Ben Saanane.Dah.....bunge linogile.
Kangi Lugola amesema Rais Magufuli ni kama Yesu na kila aendapo wananchi humfuata kumweleza shida zao naye huwatatulia papo kwa hapo kama Yesu alivyomponya Batholomeo na kumfufua Lazaro.
Lugola amesema Rais Magufuli ni mtu wa kipekee ambaye huwezi kumpata sehemu nyingine yoyote tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayeshinda Grocery na hasa pale Chako ni Chako.
"Niliwahi kusema watu kama Rais Magufuli hawazaliwi kila wakati na hauwezi kuwapata kila mahala. Watu ambao unaweza kuwapata kila mahala ni walevi kama kina Freeman Mbowe" - Kangi Lugola.
Chanzo: Bungeni
Maendeleo hayana vyama!
Hakuishia hapo alizungumzia pia na Chako ni chako!Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:
Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"
Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Nendeni na hii hoja kwenye kampeni ili Magufuli ashindwe,!Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:
Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"
Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Sihuyu ila Ahmada.lugola asulibishwe kwa kukashifu dini yetu mpuuzi sana
Corona IPO sana na sasa imeweka epicenter Misri!Nendeni na hii hoja kwenye kampeni ili Magufuli ashindwe,!
Alafu sijui kampeni mtaoigaje maana mnasema corona imejaa,
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Nasubiri wamfananishe Magufuli na Mtume Muhamad (pbuh) ndipo nitajua kweli ccm inajenga uchumi wa viwandaManeno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:
Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"
Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Hawathubutu!Nasubiri wamfananishe Magufuli na Mtume Muhamad (pbuh) ndipo nitajua kweli ccm inajenga uchumi wa viwanda
AJABU SANA KWA KWELI LABDA KWA KUFANYA HIVI KESI ITAFUTWAManeno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:
Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"
Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Sisi wakristo tumepoa Sana wangekua wenzetu ufafanuzi ungekua umeshatolewa tayali nchi ingekua imechachamaa.Nasubiri wamfananishe Magufuli na Mtume Muhamad (pbuh) ndipo nitajua kweli ccm inajenga uchumi wa viwanda
Ningekuwa mimi ni magu kwa kweli ningemshikisha mtu ukutaManeno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:
Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"
Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Fala WeweManeno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:
Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"
Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.