Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:

Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"

Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Nani amekwambia Yesu ni Mungu?

Wanasiasa ni wanafiki sana mnatumia migongo ya wananchi kufanikisha mambo yenu...
 
Dah.....bunge linogile.

Kangi Lugola amesema Rais Magufuli ni kama Yesu na kila aendapo wananchi humfuata kumweleza shida zao naye huwatatulia papo kwa hapo kama Yesu alivyomponya Batholomeo na kumfufua Lazaro.

Lugola amesema Rais Magufuli ni mtu wa kipekee ambaye huwezi kumpata sehemu nyingine yoyote tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayeshinda Grocery na hasa pale Chako ni Chako.

"Niliwahi kusema watu kama Rais Magufuli hawazaliwi kila wakati na hauwezi kuwapata kila mahala. Watu ambao unaweza kuwapata kila mahala ni walevi kama kina Freeman Mbowe" - Kangi Lugola.

Chanzo: Bungeni

Maendeleo hayana vyama!
Atueleze Magufuli amemfufua nani ili tumwombe amfufue Ben Saanane.
 
Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:

Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"

Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Hakuishia hapo alizungumzia pia na Chako ni chako!
 
Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:

Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"

Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Nendeni na hii hoja kwenye kampeni ili Magufuli ashindwe,!

Alafu sijui kampeni mtaoigaje maana mnasema corona imejaa,

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Lugora unamkufuru Mungu kumfananisha Rais Magufuri na nabii issa? / Yesu !!Umemkosea Sana Rais wanchi kumpa sifa ambazo zinafanya watu wamseme vibaya kumbe maskini mzee was watu wala hizo sifa hajawahi kujinasibu kuwa nazo! Viongozi wangu muwe na HEKIMA !!! Mnaweza liingiza taifa kwenye laana zizoepukika!!!! Yule was Mbeya hajatubu na Wewe unakuja na yako ya kukufuru!!! Mnasababisha watu kumchukia Mkulu was Kaya. Mnatafuta nn? Maneno mengine na mifano hakuna?????Tubun la sivyo tunafunga kwa ajili ya kuwashtakia kwa kukufuru. Tena na yule was Mbeya. Kashupaza shingo laana ikishuka msilie!!!
 
Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:

Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"

Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Nasubiri wamfananishe Magufuli na Mtume Muhamad (pbuh) ndipo nitajua kweli ccm inajenga uchumi wa viwanda
 
Huyu Mungu ndye tunasema tulimuomba siku 3 atuondolee korona na sasa imeisha.

Huyu Lugola angejaribu kumfananisha na Mtume mhamadi akaona kipigo chake. Wakristu ni wastaarabu sana. Ila sio vizuri kukalia kimya swala hili. Wamfungie hata masacrament.
 
Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:

Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"

Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
AJABU SANA KWA KWELI LABDA KWA KUFANYA HIVI KESI ITAFUTWA
 
Mungu baba wa hapa kwetu asiepingwa asiebishiwa ukimbishia unapotea
 
Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:

Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"

Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Ningekuwa mimi ni magu kwa kweli ningemshikisha mtu ukuta
 
Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:

Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"

Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Fala Wewe
 
Back
Top Bottom