Mkuu sijakuelewa vizuri,ufafanuzi kidogoOn the flipside of a bully is an imprint of a coward
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sijakuelewa vizuri,ufafanuzi kidogoOn the flipside of a bully is an imprint of a coward
Mara nyingi kama sio zote, wanaopenda kutesa wenzao hua ni watu waoga sana.Mkuu sijakuelewa vizuri,ufafanuzi kidogo
Muombe Mungu sana akupe hekima hasa unapoinuliwa; shetani anatumia sana nafasi hiyo kukufanya uwe na KIBURI; Pajapo kiburi huja aibu neno la Mungu linasema hivyoMadaraka yanahitaji hekima vinginevyo kuaibika ni suala la muda tu
Sent from my SM-J700H using Tapatalk
Uwaziri uwe proffessional, watu waombe kazi kama taaluma ; wapewe kwa vigezo sio kwa ubungeUnaanza kuteuliwa kuwa mbunge ndo unapewa uwaziri
Atajifunza kutokana na makosa hayaHivi ikitokea Jiwe akimteua tena Kangi mutasema nini?Mumesahau ya akina Kichere na Simbachamwene.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo ndo yalikuwa yamependekezwa kwenye rasimu ya katiba mpya, mchakato ulipofia haijulikani pamoja ya kutumia mabilioni ya pesa za walipa kodi, hii nchi ngumu sana..Uwaziri uwe proffessional, watu waombe kazi kama taaluma ; wapewe kwa vigezo sio kwa ubunge