Kaniahidi na kujiapiza kuwa nikimuacha anajiua

Kaniahidi na kujiapiza kuwa nikimuacha anajiua

Vipi huyo mzee wameshaachana??

Kama ana kila kitu kama pesa na kwao pesa ipoo na wewe unamuhudumia kila kitu ..... Unahisi kwanini yupo na huyo mzee? Au mzee ndio mkunaji mzuriiii?? Na wewe umependewa kuuzia sura

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app

Nitarudia tena kusema ya kuwa...kabla ya mahusiano naye, alikuwa tayari na mahusiano na huyo mzee...Japo, alinificha wakati tunaingia katika mahusiano yetu. Ila kwa sasa tayari wameachana.
 
Personally siwezi kudate na mtu anayetaka kujiua. Kama unaweza kukatisha maisha yako mwenyewe unashindwa nini kuniua nikukuudhi siku moja?
Hao watu wenye suicidal ideas wanatakiwa kuwa Mirembe wanatibiwa sio kuwa kwenye mahusiano.. siku utatolewa roho wewe halafu utakuja kutuma mrejesho kutoka huko afterlife.
Mtu wa hivi sio wa kuoa.
Maneno huumba. Kifo cha huyu Binti kitakuja kutokea kwa kujiua, kama si yeye basi mtoto wake. Jinsi anavyojinuia anajitengenezea memory isiyoonekana kwenye ubongo wake, hivyo kuna siku akili yake itamwambia anywe sumu. Na kwenye familia mtu akijiua, tukio hilo huwa linakuja kujirudia tena kwenye kizazi chake baada ya miaka kadhaa.
 
Kila siku nasema humu mabraza wa miaka 40 wakishauri usipuuze hehehehehe.. Huyo bado ni mtu sahihi sana kwako.

Mabraza wa miaka 40 walipokutana na wazungu walisema The grass is not greener on the other side.

Ila hii issue ya kutaka kujua(roho yake ya mauti) inanitesa sana, maana wakati wowote anaweza katisha maisha yake huyu.
 
Fanya namna yeye ndio akuache ila ukweli utabaki kwako kuwa ulianza kumuacha kabla yake.

Mpige matukio hadi anyanyue mikono juu kama yule bwana kwenye chupa ya konyagi
 
Enzi zile sijayajua mapenzi ndio nilikuwa naziamini hizi kauli za nitajiua

Hadi nimeshusha uzi hapa Jf, Huyu mtu haishii kutoa kauli tu, bali anafanya matukio kabisa...amejaribu kujiua mara mbili
 
Kipi ww unataka kwake unataka kumuacha sababu hisia za mapenzi zimetoka kwake au unataka kumuacha sababu alitembea na Mzee? Alishawai kukucheti na mtu mwingine zaidi ya uyoo Mzee vp anakisikiliza na kukuheshimu vp Mzee walishaachana au ndyo kashindwa kumuacha Labda nikwambie Tu kama hujaowa na unafikiria kuowa Rudisha hisia Kwa uyuu dada sahau ya nyuma na songa naye mbele Ila Tu kama Hana tabia za kiburi umalaya au Hana heshima na labda mama yeke ni single Maza ndyo achana naye Ila kama ni ana heshima anakisikiliza na anakupenda muowe utakuja nishukiru badaye

Sababu kubwa ni hii roho yake ya kufanya majaribio ya kujiua pale tunapopishana. Japo, Nikiri kusema: Ananipenda, ananiheshimu, na hana tabia za umalaya na nyingine mbaya(Ukitoa hiyo issue ya kujiua, mapungufu yake ni ya kibinadamu tu)
 
Mtu wa hivi sio wa kuoa.
Maneno huumba. Kifo cha huyu Binti kitakuja kutokea kwa kujiua, kama si yeye basi mtoto wake. Jinsi anavyojinuia anajitengenezea memory isiyoonekana kwenye ubongo wake, hivyo kuna siku akili yake itamwambia anywe sumu. Na kwenye familia mtu akijiua, tukio hilo huwa linakuja kujirudia tena kwenye kizazi chake baada ya miaka kadhaa.

Hili ndilo jambo ambalo naliogopa sana
 
Fanya namna yeye ndio akuache ila ukweli utabaki kwako kuwa ulianza kumuacha kabla yake.

Mpige matukio hadi anyanyue mikono juu kama yule bwana kwenye chupa ya konyagi

Hii mbinu nimetumia mkuu, hata alipotambua nam-cheat alipambana na mwanamke niliyokuwa nae katika mahusiano ila kwangu aliomba yaishe na amenisamehe kabisa.
 
Wee muache anywe sumu mzeya wala sio kosa lako.

Baadhi ya issue sijaweka katika andiko, Napata sana vitisho kutoka kwa ndugu zake, pale matukio kama haya yanapojitokeza
 
Sababu kubwa ni hii roho yake ya kufanya majaribio ya kujiua pale tunapopishana. Japo, Nikiri kusema: Ananipenda, ananiheshimu, na hana tabia za umalaya na nyingine mbaya(Ukitoa hiyo issue ya kujiua, mapungufu yake ni ya kibinadamu tu)
Ni swala la kuongea naye na kumrekebisha wanawake umri unapozidi kwenda wanaogopa kuachana na mtu waliyekaanaye kwenye mahusiano naye Kwa kipindi kirefu alafu kama anakuelewa snaa anapata hofu snaa wangu ambaye Niko naye Hadi sasa nilimkuta na mtu hakuniambia bdyee niligundua alileta tabia kama ya mtu wako Ila tuliyaweka sawa na saivi tunafamilia maisha yanakwenda powa na sijawai kuhisi kunicheti toka kipindi icho Hadi Leo kwenye dunia ya sasa kumpata atakaye kuelewa na kukupenda Kwa dhati bila kuweka pesa mbele aisee ni ngumu sana
 
Back
Top Bottom