Best Daddy
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 950
- 1,672
- Thread starter
- #61
Asante kwa ushauri mkuu.
Kila lenye kheri katika maisha yenu ya ndoa.
Kila lenye kheri katika maisha yenu ya ndoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio mwenye akili ndogo huwezi kucontrol maisha yako mpka uje uombe watu wa kushauri,ukikaa vibaya huyo mzee akufumua marindaNiweka ile clause|Paragraph sababu ya watu wenye akili kama yako.
Anajua udhaifu wako ndio maana, atakutesa sanaHadi nimeshusha uzi hapa Jf, Huyu mtu haishii kutoa kauli tu, bali anafanya matukio kabisa...amejaribu kujiua mara mbili
Una udhibitisho gani wameachana? Kama aliweza kuishi na wewe huku yuko na huyo mzee Atashindwa kukudanganya Wameachana? Kifupi mimi nina kisa kama chako...kuna dem nilimpataga kumbe yuko na mzee uzuri aliniambia huyo mzee ndio anamsaidiaga na alizaaga nae lakini kwa sasa amebaki kama "mzazi" wake hawalalani tena. Lakini nilikuwa nikigombana nae lazima amtafute amtumie vijesenti huyo mzee ni dr binti alikuwa na miaka 29. Yaani nakushauri huyo achana nae mwanamke anaetembea na mwanume mwenye umri sawa na baba yako hafai kabisa. Wewe ni kama anakutumia tu kwa ndg na marafik zake and Society. Huyo mzee ni mume wa mtu kwahiyo hana uhuru naeTayari wameachana, Mkuu!
Wewe ngangana wameachana ngoja mzee akusikie tamu yake unatangaza mitandaoni ameiachaIla kwa sasa wameachana
Leo hausubiri waje?Punguza ujinga, asingekua na mahusiano na huyo mzee mmoja...
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...Leo hausubiri waje?
Ngoja waje wenyeweTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...