Kaniahidi na kujiapiza kuwa nikimuacha anajiua

Kaniahidi na kujiapiza kuwa nikimuacha anajiua

Hii dunia ina watu wa hovyo kwelii demu anakuchit alafu anakutishia kunywa sumu?ingelikuwa Mimi nakorogea kabisa anye akufe kabisa.
 
Anakupendaje na wakati anakucheat, au definition ya kupenda huko kwenu imebadilika?

Halafu msichana akishaweza kudate wazee jua huyo hana soni kabisa usoni mwake, She is suicidal and a psycho. Kama anaweza kujiua mwenyewe anashindwaje kumuua mwingine.
 
Tayari wameachana, Mkuu!
Una udhibitisho gani wameachana? Kama aliweza kuishi na wewe huku yuko na huyo mzee Atashindwa kukudanganya Wameachana? Kifupi mimi nina kisa kama chako...kuna dem nilimpataga kumbe yuko na mzee uzuri aliniambia huyo mzee ndio anamsaidiaga na alizaaga nae lakini kwa sasa amebaki kama "mzazi" wake hawalalani tena. Lakini nilikuwa nikigombana nae lazima amtafute amtumie vijesenti huyo mzee ni dr binti alikuwa na miaka 29. Yaani nakushauri huyo achana nae mwanamke anaetembea na mwanume mwenye umri sawa na baba yako hafai kabisa. Wewe ni kama anakutumia tu kwa ndg na marafik zake and Society. Huyo mzee ni mume wa mtu kwahiyo hana uhuru nae
 
Back
Top Bottom