mambo gani? kuwa muwazi tukushaurindio sijawai kulala nae ila mambo mengine nimewai kufanya
taja hayo mambo mengine ambayo umewahi kufanya ili tuone reality ilipo?. Kama hujawahi kulala naye basi atakuwa alikuota kuwa mmelala na ndpo roho mtakatifu akamalizia kuhakiki uhalisia. Kwahiyo ww ndiye mhusika kwa Imani ya Roho Mtakatifu aliyekuwa nae, endeleeni kulea uja uzito ama yataje hayo mambo ili nikupe ushauri mwngne!ndio sijawai kulala nae ila mambo mengine nimewai kufanya
Mtumiaji wa mtandao kwa zaidi ya miaka 10-20 hawezi kuwa sawa na hawa walionza kutumia internet kwenye smart phone za tecno mwaka jana if you know what I meanUmesema hujawahi kulala naye, sasa unaomba ushauri wa nini?
Scratchin' my head!
kuna wakati hua anapatwa na hamu ananiomba nimchezee hili hamu ihishe
ndio sijawai kulala nae ila mambo mengine nimewai kufanya