Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

sasa namuunga mkono rais kuwe Na makambi kwa ajili ya vijana wakimaliza form 4 wakati wanasubiria matokeo wajifunze kilimo kidogo kuna maswali Na mambo yatapungua mtaani
 
daah yan we mkuu unaamini ujauzito ni wako? au sio wako? au upo njia panda uelewi kama ni wako au la? hebu jibu hlo kwnza afu ntakuja
 
Sasa mkuu hujawah kulala nae unakuja tena kuomba ushauri?
Basi subir mtoto azaliwe mkapime DNA labda aliingia kwa njia ya mnururisho
 
sasa namuunga mkono rais kuwe Na makambi kwa ajili ya vijana wakimaliza form 4 wakati wanasubiria matokeo wajifunze kilimo kidogo kuna maswali Na mambo yatapungua mtaani
tuliza mihemko yako kwanza kwasababu umjui alietoa uzi
 
Endelea kutafuna popcorn, hakuna sababu ya kuhitaji mawazo ya watu Kwenye hili
 
acha uzoba! unataka ushauri gan ss, wewe endelea kushika pembe wenzio wakamue
 
natumia vidole na ulimi mara chache sana hua nampiga katetero

gasper;
Kama ni ile katererp ninayoijua, weye wala huna haja ya kujiuliza mwenye mzigo ni nani. Ni weye. Binti mmoja kule India alikuwa anakawaida ya kuvaa ngo za wateja kabla hajaziosha. Siku moja akaivaa suruali ya mteja wake kumbe alikuwa kajimwagia ndo kaileta kufuliwa. Yule binti akapata mimba kwa mbegu za mteja wake. Sasa weye unayempiga katerero wakati anafikia kilele na weye ukafikia mshindo si rahisi kabisa??
 
gasper;
Kama ni ile katererp ninayoijua, weye wala huna haja ya kujiuliza mwenye mzigo ni nani. Ni weye. Binti mmoja kule India alikuwa anakawaida ya kuvaa ngo za wateja kabla hajaziosha. Siku moja akaivaa suruali ya mteja wake kumbe alikuwa kajimwagia ndo kaileta kufuliwa. Yule binti akapata mimba kwa mbegu za mteja wake. Sasa weye unayempiga katerero wakati anafikia kilele na weye ukafikia mshindo si rahisi kabisa??
kwenye hlo suala nko makin sana na yy pia anakuwa makin kunikumbusha
 
daaa uku Kuna vituko sana huyu mlete mada anakua hajielewi
 
Anakutega weka sura ya kazi au mtafute then mkazie sura atakuambia ukweli..
Kama uliingiza kichwa ukazani hatashika mimba imekula kwako ndugu
 
Back
Top Bottom