Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaa!!!natumia vidole na ulimi mara chache sana hua nampiga katetero
IdiotHabarini,
Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.
Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.
Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa.
Naombeni ushauri wenu
HahahaAcha ufala wewe! Hujalala nae alafu kakwambia hivyo na wewe unaumiza kichwa? Una akili kweli wewe?