Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana alikulewesha akajihudumia ukampa ujauzito jaribu kukumbuka!Habarini
Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.
Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa
Naombeni ushauri wenu
Kwahyo naona mmeshajiona yosefu na Mariam haya msingzien bas roho mtakatifu mmumzae na nyie yesu wenu
hapo tayari jibu liko hapo,ulikua unapiga katerero kavu au yenye condom?natumia vidole na ulimi mara chache sana hua nampiga katetero
watoto wa siku hizi ni hopelless kichwani,yeye ngono anafikiria mpaka uume uingie ukeni pekeeWhen withdraw fails... Hii story yako kama usingeweka hiyo part 2 ya katerero ingekuwa poa sana... by the way mwanamke hataki mgegedane hadi ndoa wakati huo huo hawezi kuzuia nyege teheee.. Au mnafkiri kutiana vidole na katerero sio zinaa???
Tuulize mwanachuo Evelyn SaltForm four washapangiwa shule?
Mambo yapi hayo mkuu?ndio sijawai kulala nae ila mambo mengine nimewai kufanya
Unamchezea wapi na kwa kutumia nini?kuna wakati hua anapatwa na hamu ananiomba nimchezee hili hamu ihishe
Analyse vizurii mukuu.gasper;
Kama ni ile katererp ninayoijua, weye wala huna haja ya kujiuliza mwenye mzigo ni nani. Ni weye. Binti mmoja kule India alikuwa anakawaida ya kuvaa ngo za wateja kabla hajaziosha. Siku moja akaivaa suruali ya mteja wake kumbe alikuwa kajimwagia ndo kaileta kufuliwa. Yule binti akapata mimba kwa mbegu za mteja wake. Sasa weye unayempiga katerero wakati anafikia kilele na weye ukafikia mshindo si rahisi kabisa??
mtu mwenye akili zinazofanyakazi vizuri na anauzoefu na mitandao na forums hawezi kuandika huu utumbomatumizi ya mtandao na huu uzi unaendana vipi??