Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

Habarini

Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.

Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa

Naombeni ushauri wenu
Inawezekana alikulewesha akajihudumia ukampa ujauzito jaribu kukumbuka!
 
Mshaniacha njia panda, hilo neno katerero hua lina maana gani?
 
When withdraw fails... Hii story yako kama usingeweka hiyo part 2 ya katerero ingekuwa poa sana... by the way mwanamke hataki mgegedane hadi ndoa wakati huo huo hawezi kuzuia nyege teheee.. Au mnafkiri kutiana vidole na katerero sio zinaa???
 
When withdraw fails... Hii story yako kama usingeweka hiyo part 2 ya katerero ingekuwa poa sana... by the way mwanamke hataki mgegedane hadi ndoa wakati huo huo hawezi kuzuia nyege teheee.. Au mnafkiri kutiana vidole na katerero sio zinaa???
watoto wa siku hizi ni hopelless kichwani,yeye ngono anafikiria mpaka uume uingie ukeni pekee
 
Hujawahi kulala naye? then anakuambia ana ujauzito wako?
We unaonaje kwanza? Inaonekana Kuna vitu unaficha mkuu
 
Una
gasper;
Kama ni ile katererp ninayoijua, weye wala huna haja ya kujiuliza mwenye mzigo ni nani. Ni weye. Binti mmoja kule India alikuwa anakawaida ya kuvaa ngo za wateja kabla hajaziosha. Siku moja akaivaa suruali ya mteja wake kumbe alikuwa kajimwagia ndo kaileta kufuliwa. Yule binti akapata mimba kwa mbegu za mteja wake. Sasa weye unayempiga katerero wakati anafikia kilele na weye ukafikia mshindo si rahisi kabisa??
Analyse vizurii mukuu.
Just akumbuke last time amepigs katetero ..ili aamuwe vizuri
 
Hiyo mimba ni yako mkuu!!!!


Ila kuna uvumilivu mimi sinaga labda nitaufanya kwa mke...katerero na hauingizi!????? congrats bro...

mtoto akizaliwa wa kume muiteni 'Mentor' akizaliwa wa kike 'Becky' !!!
 
Back
Top Bottom