Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

Wacha uzuzu kijana,
Watu wanatafuta watoto hata wa kusingiziwa hawawapati, kubali tu kuwa wewe ndiye kampa kampa tena mimba
sababu,
kwanza kaueleza uma kuwa wewe amewahi kukuvulia chupi
mbili ameutangazia uma kuwa wewe ni rijari
na tatu kakuinua juu miongoni mwa wanaume wake wote.
 
Hamna shida man! ,,, mbon yusuph alkubal mimba ya mariam akat na hakuwai kulala nae ,,,
 
Eti katelelo,sasa labda ulimi wako ndo ulimpa mimba hudumia tu hakuna namna
 
Habarini

Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.

Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa

Naombeni ushauri wenu
Nasikitika sana Jamio forum imevamiwa na watu wenye uelewa mdogo sana umesema hujawahi kulala nae sasa unaomba ushauri wa nini?
 
muomba ushauli sikuelewi, sio hadi ulale nae ndio mimba iingine hata mnavyochezeana hata umchezee uchocholoni na kufanya sex chap kama mnavyofanya lazima ujauzito uingie, hivo hiyo ni yako. hongeraa.
 
Nasikitika sana Jamio forum imevamiwa na watu wenye uelewa mdogo sana umesema hujawahi kulala nae sasa unaomba ushauri wa nini?
angalia nimejiunga lini Jamii Forum halafu urudi kufuta comment yako
 
Nasikitika sana Jamio forum imevamiwa na watu wenye uelewa mdogo sana umesema hujawahi kulala nae sasa unaomba ushauri wa nini?
Ebu subiri labda ni Kijana mdogo anata auziwe mbuzi kwenye gunia.Sema tu ukweli tukusaidie.
 
Kwa njia ya roho mtakatifu??? Sa kama una uhakika humjasex haina haja ya kuwa na pressure. ..just chillout
 
Nnaomba msaada kuelewa nini kimeandikwa?? Can u really advce kitu kaa hii??
 
Habarini

Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.

Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa

Naombeni ushauri wenu
Hahahaahaaa
 
Back
Top Bottom