Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

Huyo ana ugonjwa wa akili unaohitaji msaada wa ushauri nasaha. Huwa wanapenda kuonekana innocent kwa mtu fulani wanaemtarget hata kama wanatoa penzi kwingine na kama ulijaribu kumdo hata kwa kugusisha uume kwenye chupi,anaweza kukukomalia kuwa iliingia hivyo hivyo. Anajua kuwa haiwezekani ila anakuwa amejifyatua akiamini utaendelea kumuona ana hadhi na anajiheshimu.
 
Huyo ana ugonjwa wa akili unaohitaji msaada wa ushauri nasaha. Huwa wanapenda kuonekana innocent kwa mtu fulani wanaemtarget hata kama wanatoa penzi kwingine na kama ulijaribu kumdo hata kwa kugusisha uume kwenye chupi,anaweza kukukomalia kuwa iliingia hivyo hivyo. Anajua kuwa haiwezekani ila anakuwa amejifyatua akiamini utaendelea kumuona ana hadhi na anajiheshimu.
itabidi nimshauri haende kufanyiwa counseling
 
Darasa la kwanza mwandiko ulikuwa unahudhuria kweli darasan wewe?
 
Amini nakuambia wewe ni mbarikiwa na ishara imejionyesha wazi ivyo kaa ukisubiri malaika akutokee akupe habari njema ya uzao wa kijana wako.
 
Hujawahi kuomba kuingiza kichwa tu mkuu au kumwambia mfanye kijuu juu ? Kama uliingiza kicha na ukakojoa mimba ya kwako sababu umesema kuna wakati unamchezea hamu iishe
 
wewe unatatzo mtoa mada, yani uliwzaje kupiga Katerero, miaka miwili husidumbukize? hacha hizo wewe lea mimba hacha ubwege hata katerelo mimba inaingia ndo ukome
Labda anadhani mimba mpaka ulale nayo na uamke nayo
 
taja hayo mambo mengine ambayo umewahi kufanya ili tuone reality ilipo?. Kama hujawahi kulala naye basi atakuwa alikuota kuwa mmelala na ndpo roho mtakatifu akamalizia kuhakiki uhalisia. Kwahiyo ww ndiye mhusika kwa Imani ya Roho Mtakatifu aliyekuwa nae, endeleeni kulea uja uzito ama yataje hayo mambo ili nikupe ushauri mwngne!
nimecheka kw nguvu aiseee nyie watu ni noma, uwiiii jaman mbavu zanngu
 
Habarini

Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.

Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa

Naombeni ushauri wenu
"......Tulia ulee mimba wewe -gasper si demu wako? miaka yote hiyo unashindwa kucheza gemu basi cheza na mimba hiyo mkuu"
 
Habarini

Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.

Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa

Naombeni ushauri wenu
Pumbavu huyu jamaa
 
Back
Top Bottom