golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,270
- 693
Aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itabidi nimshauri haende kufanyiwa counselingHuyo ana ugonjwa wa akili unaohitaji msaada wa ushauri nasaha. Huwa wanapenda kuonekana innocent kwa mtu fulani wanaemtarget hata kama wanatoa penzi kwingine na kama ulijaribu kumdo hata kwa kugusisha uume kwenye chupi,anaweza kukukomalia kuwa iliingia hivyo hivyo. Anajua kuwa haiwezekani ila anakuwa amejifyatua akiamini utaendelea kumuona ana hadhi na anajiheshimu.
Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito....
Ukiwa muongo inabidi pia uwe na kumbukumbuhii ni true leo mchana kanipigia simu na kuniambia
Labda anadhani mimba mpaka ulale nayo na uamke nayowewe unatatzo mtoa mada, yani uliwzaje kupiga Katerero, miaka miwili husidumbukize? hacha hizo wewe lea mimba hacha ubwege hata katerelo mimba inaingia ndo ukome
nimecheka kw nguvu aiseee nyie watu ni noma, uwiiii jaman mbavu zanngutaja hayo mambo mengine ambayo umewahi kufanya ili tuone reality ilipo?. Kama hujawahi kulala naye basi atakuwa alikuota kuwa mmelala na ndpo roho mtakatifu akamalizia kuhakiki uhalisia. Kwahiyo ww ndiye mhusika kwa Imani ya Roho Mtakatifu aliyekuwa nae, endeleeni kulea uja uzito ama yataje hayo mambo ili nikupe ushauri mwngne!
tatizo yao imenasa pasakaKwahyo naona mmeshajiona yosefu na Mariam haya msingzien bas roho mtakatifu mmumzae na nyie yesu wenu
naunga mkono hoja.sasa namuunga mkono rais kuwe Na makambi kwa ajili ya vijana wakimaliza form 4 wakati wanasubiria matokeo wajifunze kilimo kidogo kuna maswali Na mambo yatapungua mtaani
Mfano mambo gani?,kuwa wazi tukushauri vizurindio sijawai kulala nae ila mambo mengine nimewai kufanya
Ulikuwa unamchezea kwa kidole au dushe?kuna wakati hua anapatwa na hamu ananiomba nimchezee hili hamu ihishe
Mimba yako hiyo!!,hakuna ubishinatumia vidole na ulimi mara chache sana hua nampiga katetero
"......Tulia ulee mimba wewe -gasper si demu wako? miaka yote hiyo unashindwa kucheza gemu basi cheza na mimba hiyo mkuu"Habarini
Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.
Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa
Naombeni ushauri wenu
Pumbavu huyu jamaaHabarini
Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.
Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa
Naombeni ushauri wenu