Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

Kwa kifupi anataka ufanye kweli siyo kuchezea...hizo ni gia za kukuomba!! Acha utoto!!
 
Ni wazi kabisa kwa maelezo yako hiyo mimba ni yako na wala usibishe
 
Ebu fikilia vizur kwanza labra kuna siku ulichomeka
 
wewe unatatzo mtoa mada, yani uliwzaje kupiga Katerero, miaka miwili husidumbukize? hacha hizo wewe lea mimba hacha ubwege hata katerelo mimba inaingia ndo ukome
 
wewe unatatzo mtoa mada, yani uliwzaje kupiga Katerero, miaka miwili husidumbukize? hacha hizo wewe lea mimba hacha ubwege hata katerelo mimba inaingia ndo ukome
unaweza kupiga na usiingize
 
Back
Top Bottom