Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
Hata kichwa hujawahi kuingiza? Bac ngoja mtoto azaliwe tukapime DNA ndio utapata majibu kamili...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unaakili kwelindio sijawai kulala nae ila mambo mengine nimewai kufanya
DUH hii kali mkuu.Kuanzia Leo nitakuwa mkamuaji tu.Na pembe sishiki ng'ooooooo.acha uzoba! unataka ushauri gan ss, wewe endelea kushika pembe wenzio wakamue
Kumbe ndiyo sababu kakuona zuzu akakubambikiza.kuna wakati hua anapatwa na hamu ananiomba nimchezee hili hamu ihishe
Hili hamu hiishe??kuna wakati hua anapatwa na hamu ananiomba nimchezee hili hamu ihishe
Habarini
Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.
Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa
Naombeni ushauri wenu
Ni infraredUtakuwa uliacha Bluetooth on na yeye ikawa on so akashika
Hio mimba ni yakeYaani leo nilikuwa sijacheka aisee, JF is very interesting!
osmosis mkuuHabarini
Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.
Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa
Naombeni ushauri wenu
Itakuwa, eti yuko makini kwenye kupiga katerero!Hio mimba ni yake
Im sure hii mimba ni yake, huyu jamaa alikuwa anampiga huyu mwanamke katerero na kummwagia na bibie kama alikuwa kwenye siku za hatari laZima mimba ishike, angekuwa amegawa nje asingemtafuta jamaaItakuwa, eti yuko makini kwenye kupiga katerero!
Hahaha... Bao la kisirisiri..... Pole hiyo ni wall unit.... Iliandaliwa juu ya meza. Vumilia chalii.Habarini
Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.
Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa
Naombeni ushauri wenu
Hahahahahaha inachekesha kweli. Anatutangazia kuwa yeye mshika pembe wengine wanakamua sasa anataka kulea matunda ya wengine.acha uzoba! unataka ushauri gan ss, wewe endelea kushika pembe wenzio wakamue
Hahaha we utakuwa unapiga mzigo kawaida ila unachomoa na kumwanga nje ndio maana unasema huwa anakusisitiza na kuwa mwangalifu. Kama ni hivyo mimba ni yako.kwenye hlo suala nko makin sana na yy pia anakuwa makin kunikumbusha
Muulize ulimpaje kwa bluetooth au ??Habarini
Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.
Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa
Naombeni ushauri wenu