Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

Sasa si umesema ulimpiga katerero au? ulijua mkiwa wima bila kulala mimba haiingii?
 
Sasa kwa mkeo upige katerero usiingize kwa nini? kuna vitu hata kuimagine na kuipanga akili inagoma. Khaa
Hiyo mimba ni yako mkuu!!!!


Ila kuna uvumilivu mimi sinaga labda nitaufanya kwa mke...katerero na hauingizi!????? congrats bro...

mtoto akizaliwa wa kume muiteni 'Mentor' akizaliwa wa kike 'Becky' !!!
 
Lile neno ukiwaza moyoni umekwisha tena hawalijiu hawa
When withdraw fails... Hii story yako kama usingeweka hiyo part 2 ya katerero ingekuwa poa sana... by the way mwanamke hataki mgegedane hadi ndoa wakati huo huo hawezi kuzuia nyege teheee.. Au mnafkiri kutiana vidole na katerero sio zinaa???
 
Hili hamu hiishe??
Wewe jamaa ni mtanzania kweli? Ulisoma kiswahili miaka saba kabisa primary school? Kweli?
Atakuwa Mhaya huyu. Wana matatizo makubwa sana na irabu za Kiswahili na kikanushi h- hata wasome vipi. Ni mkanganyiko tupu. Wakora mukazi wange. Ija nkuchuge bojo!
 
taja hayo mambo mengine ambayo umewahi kufanya ili tuone reality ilipo?. Kama hujawahi kulala naye basi atakuwa alikuota kuwa mmelala na ndpo roho mtakatifu akamalizia kuhakiki uhalisia. Kwahiyo ww ndiye mhusika kwa Imani ya Roho Mtakatifu aliyekuwa nae, endeleeni kulea uja uzito ama yataje hayo mambo ili nikupe ushauri mwngne!
mkuu labda yesu wa pili anataka kuzaliwaa hapoo ...acha jamaa awe baba mrithi
 
We jiulize kama angekwambia ana mtoto ungeendelea naye? kama jibu ni ndio basi na mimba ni mwanzo tu wa mtoto....endelea naye mkuu.
 
Habarini,

Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.

Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.

Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa.

Naombeni ushauri wenu
Mkuu, wewe ni jipu, tena la utosini.
 
Taifa letu lina maadui watatu
1. Maradhi
2.Ujinga
3.Umaskini
Kati haya ujinga ndio tatizo kubwa zaidi.
 
Habarini,

Nimekuja kuomba ushauri kwenu wana jamvi wenzangu.

Nimekua kwenye uhusiano na binti mmoja kwa miaka miwili sasa na sijawai kumuingilia kimwili kwasababu alisema hawezi hadi tufunge ndoa.

Lakini nashangaa jana ananipigia simu na kuniambia anajihisi ni mjamzito.
Mimi nimemwambia amwambie aliempa hiyo mimba akajibu mimi ndio niliempa.

Naombeni ushauri wenu

!
!!
Kesho asubuhi chukua mahindi ya na mayai ya kuchemsha oamoja na maharage ya kutosha, kula kisha shushia mtindi. Ikifika saa nane nane jua likiwa kaliii mchukue nenda naye katika chumba funga mlango na madirisha, hakikisha hakuna hewa inaingia au kutoka.... Chukua shuka jifunike nae humo ndani..... Kisha achia ushuzi kitu cha yusufuuuu au cha kimya kimya. Akitaka kutoka ujue mimba sio yako, alikaa ni yako bila shaka.
 
ha ha hah hah hah hah kweli hii mpya yanajirudia mambo ya kina yusuph na mariam
 
Back
Top Bottom