Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

Wewe sio wale wanaosema sitoingiza ntaishia juu? Leo unataka kujitetea nn?ebu kawadanganye watoto wenzio
 
Heeee.....sasa hapa unataka ushauri gani mbona issue iko wazi,

ww utakua kavulana!
 
Inawezekana. Mfano wakati unamchezea iwapo uligusa uume afu manii zikanata kwe kidole ukasokomeza kwe papuchi unategemea nini?

Kuna mtoto alishawahi ambukizwa mimba kupitia swimming poll, google utakuta habari ka izo.
 
Acha ufala wewe! Hujalala nae alafu kakwambia hivyo na wewe unaumiza kichwa? Una akili kweli wewe?
 
Idiot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…