Kanibwagia mtoto mlangoni, sasa ndoa yangu imeshikiliwa na kamba nyepesi mno

Kanibwagia mtoto mlangoni, sasa ndoa yangu imeshikiliwa na kamba nyepesi mno

Yani uwe tu mpole, omba msamaha kadri uwezavyo. Wanaume wengi wamezoea kuzaa nje afu wanawaleta kinguvu watoto aw nje kwenye ndoa, wake zao wananuna wee but mwishowe wanajikuta wamezoea tu. hiyo inaapply kwa sababu baba ndo bread winner, so Long as yeye ndo anayetoa hela ya matumizi kunakuwa hakuna tatizo kubwa.

Shughuli iPo kwako Aisee coz mkeo ndo kila kitu kwako. Sijui unaanzaje kumletea mtoto na Unadhani mkeo Atakuwa na moyo wa kumuhudumia mtoto wako? Anyway endelea kumbembeleza mkeo, ukiona hakuelewi basi wafate wazee mnaowaheshimu waongee nae. Wanawake tunakuwaga na huruma, eventually yataisha tu. na Imani umepata somo la maisha kuhusu michepuko
 
Pole sana mkuu, actually nimeguswa sana na hili, nakuonea huruma sana mkuu, naomba nikusaidie hili tatizo physically ina ningependa kwanza kujua msimamo wa waifu wako anasemaje kuhusu hii habari, nitumie namba yake niharibu kuongea nae nijue pa kuanzia. pole sana.
 
Kwann usimpe wife full story kama hii uliyoleta hapa?atakuelewa tu
 
Pole sana Mkuu ila nyumbani usiondoke utazidi kuharibu wakati tayari tatizo lenyewe ni kubwa sana. Endelea kumuomba mkeo mkae chini ili ueleze yaliyojiri na kumuomba samahani.
 
I see

Iam speechless kwa kweli

Ndoa hizi zina majaribu sana
 
Suluhisho hapo nikumuomba radhi sana nakupiga magoti ila kwa nature ya wwanawake walivyo jua na wewe lazima utakuja ulee mimba ambayo siyo yako...

Anzisha maongezi wewe...

si kweli bhana! hilo neno 'lazma' liondoe. Mwanamke mwenye akili na ambaye yuko vizuri na Mungu hawezi toka nje ya ndoa ktk mazingira yoyote! wapo wanaolipiza bt sio wote
 
Tafuta mtu anayejitambua ambaye anaheshimiwa sana na mkeo! Ambaye una amani naye, then mhadithie kama ulivyotuhadithia kwa kirefu tu, na umwambie jinsi unavyojuta na kuumia. Yule mtu akienda kwa wife, lazma wife atamsikiliza na thro that atajua exactly what happened! hapo nina uhakika atakusamehe!

ila jaman tusipende kujiamini ktk mambo ya mahusiano, Mungu mwnyw kasema 'ikimbieni zinaa'...halafu wewe uko busy kuikabili hadi kushare room! kwakuwa lusifa kafa au??
 
Kijana una mambo mengi yalokukabili...

1. Umeolewa

2. Una mtoto wa kufikia asiyejulikana kwa 'mumeo'

Hata sijui usaidiwe vipi
 
Mwanaume ukiolewa na mwanamke ni mbaya sana



Jamani hebu msaidieni huyu anusuru ndoa yake hapa sio sehemu yakuonyesha mfumo dume tena? kwa hiyo angekuwa yeye ndo ana uwezo ni vyema tu kumsaliti mwenzie? amekiri mwanamke alimpenda nakumthamini wakati akiwa na shida na hamna sehemu ameonyesha kudharauliwa kama mme! kuolewa inatoka wapi hapo we have to think and judge critically my dear.

" kutunza mwanamme ni dhambi"
 
Inabidi uwe nunda kuvuka hili
na wewe naona sio nunda..
kuna vitu wanawake hawapendi kabisa kama kufanya kosa na kulialia usamehewe
ukkamatwa bora uje na explanation ingine
ungeweza sena tu hukumbuki hata ulilala nae huyo mwanamke
utahitaji dna kwanza....na asikuhukumu huku hamna uhakika
hapo angekupa mda wa kutosha kum fix huyo mwanamke

na huyo mwanamke for now anahitaji tu pesa so tafuta namna ya kumfix taratibu kimya kimya
huku ukijipanga siku moja ku face reality na kuikubali
 
Pole sana mkuu. Kama wewe na mkeo bado mnaenda kanisani ongea na Mchungaji umueleze hali ilivyo utubu kisha amuite mkeo make chini mzungumze.
 
I will not blame anyone till i have walked a mile in his/her shoes,looks like umejutia mkuu i think kua muwazi kwa wife wako tell her what happen huna haja ya kuondoka na kuvunja familia just fight till the last drop ila rudi kwenye mstari wako kama zamani usiwe dhaifu kwa yale uliofanyiwa wewe fanya yote kwa ajili ya mkeo na watoto wenu.
 
Dah!! Haya ndio madhara ya kumtegemea mwanamke
 
I will not blame anyone till i have walked a mile in his/her shoes,looks like umejutia mkuu i think kua muwazi kwa wife wako tell her what happen huna haja ya kuondoka na kuvunja familia just fight till the last drop ila rudi kwenye mstari wako kama zamani usiwe dhaifu kwa yale uliofanyiwa wewe fanya yote kwa ajili ya mkeo na watoto wenu
 
cliff jerfeson

pamoja na kumwomba waifu msamaha acha ujinga wa kutelekeza mwanao. Ungekuwa unatoa matumizi hata asinge mleta. Hivi wewe unajua kulea mtoto. Na ole wako usitishe kutuma laki 3 atamrudisha tuuu so jiongeze ongea na mkeo
 
Last edited by a moderator:
Mwanaume ukiolewa na mwanamke ni mbaya sana

Nitonye huna ndoa wewe, kama unayo itakuwa sio ya kwanza. Unazungumzia masuala ya ndoa kama vile ni under age/minor.

Kwa mtu makini ndoa ni kitu muhimu kuliko vyote; ndoa ni muhimu kuliko watoto na mali.

Vv
 
You must be a MAN. Yule mtoto ni wako, ulikosea sana kumwachia maana pale unapokaa ndiyo kwao. Kwa nini unaiacha damu yako ikakae utumwani kwakuwa unamwogopa wife. Kosa kubwa. Mweleze mkeo kama anataka uendelee na huyo mwanamke basi mtoto akae huko maana utatakiwa kupeleka matumizi. Endapo anataka uachane kabisa na huyo mwanamke basi mtoto aje na wewe kata mawasiliano kule. Na amlee.

Unadhani ni rahisi mwanamke kulea mtoto aliezaliwa huko nje wakat ye keshaolewa, Angemkuta hapo sawa. Labda kama huyo mama anaurafiki wa karibu na Mungu ndo ataweza huyo mtoto, hapo ndoa ishaingia doa na hata iweje halitofutika
 
Hiv mme wa mtu unaejitambua na unasema umeshika dini unaanzaje kulala na mwanamke mwingine usiemfahamu chumba kimoja,
sasa hiyo pesa uliyo serve kipindi hicho ulifanyia nn cha maana zaidi ya kukuletea haya matatizo, khaa!

kwanza naona huna maamuz binafsi unapelekwa sana,
Yule mwanamke alikushaur mlale chumba kimoja ukakubili bila hata kufikiria we ni mme wa mtu, pia inaonesha hata mkeo unamuogopa,

Mpe muda hasira zake ziishe, Halafu tafuta mtu wa heshima unae mwamini mueleze yote akaongee na mkeo, na we uonyeshe kujutia kosa.

Huyo mwanao wa katikati ya ndoa chukua peleka kijijini kwa mama yako au bording school na utoe huduma zote
 
Back
Top Bottom