Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,737
- 3,534
Hatua aliyochukua huyo m'mke ni hatua ambayo m'mke yeyote mwenye kumpenda sn mumewe angefanya.. Give her a space to thnk! usiendelee kumbughudhi na maneno yako, maana kwass ni km kelele masikion mwake, hamna utachomwambia akakuelewa. Hivyo vumilia hyo hali yake ya kuchuna kwa muda mpk hapo moyo wake utapoachia na kuweza kuongea tn na ww. Ila kwass she need a tym to b alone.. Lakn endelea kumfanyia mambo mazur km kumletea zawadi, kumpikia cku nyngne na ujitahid kuonesha kuwa unajutia tukio ulilofanya. W'wke tunapokosewa na w'ume tunataka tuone kweli m'ume kajutia kosa alilofanya hvyo try to b polite. Usitake kuforce usamehewe haraka no we tulia kwnza. mpetipeti mpk moyo uyeyuke.. Upoooooo!!!!!