Kanibwagia mtoto mlangoni, sasa ndoa yangu imeshikiliwa na kamba nyepesi mno

Tatizo lenu mnajifanya jeuri huyo dada toka hy januar ungekua unamtumia pesa ya matumiz cjui km yangekukuta hayo btw damu yako ni damu yako ty mwambie mkeo ukweli na endelea kutuma matumiz
 

Hili jina nimelipenda
 
Muombee tu msamaha mkeo.
kwa hali aliyokukuta nayo na kwa namna alivyokusaidia lazima tu aumie kwa huo usaliti wako. ukiangalia na mtoto yupo na amemuona na kwa miaka yote umemficha kwa miaka karibia minne.
 
mkuu punguza jaziba, hata bungeni kuna swali la msingi na swali la nyogengeza, kwa hiyo hili ni swali la nyongeza Mgirik
 
Last edited by a moderator:
Kijana una mambo mengi yalokukabili...

1. Umeolewa

2. Una mtoto wa kufikia asiyejulikana kwa 'mumeo'

Hata sijui usaidiwe vipi

Kwa kweli huyu kijana ana mtihani mgumu sana. Maana "mumewe" akimsamehe jamaa atakabidhiwa madaraka mapya ya uhausiboi.

Nauchukia sana umaskini.... source Edoboy Lowasaman.
 
Una shilingi ngapi. ikusaidie.namba yangu......0754 60 45 67..piga kama unashida.....tatizo lako dogo sana na ukichelewa atakutoa ndani maana inaonyesha hapa ameshauriwa na yeye arudishe kisasi.na wewe utakasirika na kuondoka.

Taarifa yoyote ya kuuwawa au kupotea kwa mama mwenye binti wa miaka mitatu ikisikika... You are in trouble. You are warned....
 
Last edited by a moderator:
Aisee kuolewa kubaya sana hakuna namna nyingine mpigie magoti mmeo umwombe msamaha mwambie ukweli maana kweli itakuweka huru. Endapo atakutimua usife moyo anza maisha mapya
Hahaha
 
The truth shall always set you free. Iwapo ungekuwa mkweli kwa mkeo toka huyo so called binti aanze kukutishia hio january; usingekumbwa na fedheha hii na wala usingemuumiza mkeo kwa kiasi hicho!!
 
Jambo muhimu ni kumuomba radhi mkeo,na husisha wazee wake,wazee wa kanisa na msingi omba radhi,na utubu huku unalia na kutambaa chini na kugaragara,atakusamehe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…