Kanikabidhi binti yake nimpende

[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Anatizama sana movies huyo dada ama? Mbona umafia wake ni wa uhalisia zaidi[emoji23]
 
Wadau wanasema ni swala la muda tu umejipangaje kwa hilo Mkuu?.

Ila haya mambo yapo sana nimepata kuyashuhudia ila hadi mzazi wa binti kukwambia ina maana mna ukaribu mkubwa sana.

Hii inaweza kuwa chai ila haya mambo sio chai yapo huku mitaani, hasa kama kijana una elimu nzuri na tabia yako inayojulikana ni ile njema. Hii situation itakupata tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…