iziga azizi
Member
- Aug 16, 2020
- 75
- 159
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Huko Mara mwenzako katolewa sifongo .. Kisa wazazi wa mwanamke walimchagulia mwanaume wa kuolewa naye....baada ya ndoa siku ya 14 jamaa kaomba mechi kapewa kimoko cha kwanza na cha mwisho alipomaliza na kulala zake binti kachukua upanga na kumkata shingoni mara 3 na baada ya hapo binti[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Amesema baada ya kufanya kitendo hicho Happy alikwenda kwenye nyumba ya mkwewe na kuchukua chakula na kuanza kula.
Oi! Movie gan hii unawatch....[emoji38]
[emoji3][emoji3]Hii movie ni kama nishaiwatch mazee, nimesahau jina tu.[emoji16]