Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Alishakata moto 2015... Mwanae kaolewa 2019 anamaisha yake mazuri tu, ila ananitafutaga mara moja moja kupasha kiporoSawa bwana Hazard, daah wewe ni noma, ila huyo mama yupo au kashakata moto?
Halafu ada aliyolipa ilifanya nini??Vyovyote vile..... kodi zetu ndio zimetuletea kijana wa namna hii! from low level to higher hao waliokufundisha si tuliwezesha wao kulipwa, samani, miundombinu etc
Kumbe hii hali ni nyota yako.😂😂Nina experience yakutoshaa mkuu..nikiwaa naishi ubungo mwaka 2007 mama mwenye nyumba wangu nilikua namla,kumbe alikua na matatizo ya moyo nilishanga kuna siku aliniambia akifaa nimchukue mwanae awe mke wangu.
Kumbe wewe ni fisi😂😂😂Yes..mwanae na shangazi wa mtoto pia, na walikua wanajua
Nipe namba ya huyo mwanamke nithibitishe hii habariNimefanikiwa kutengeneza urafiki na mama muuza genge hadi katokea kunipenda na kuniamini sana. Alipenda kujua maisha yangu ya kiroho na maisha ya kawaida na kuridhika nayo.
Baada ya kumaliza chuo 2019 niliamua kujiongeza na mambo mengine nje ya nilichosomea. Mapema nilipanga geto. Nimekuwa mteja wa huyu mama kwa mda kidogo, tukipiga stori na kunishauri kuhusu maisha.
Juzi kati amezidiwa du kumbe alikuwa na tatizo kubwa la kiafya😰 na kulazwa nilijitoa kwa moyo wangu wote kumsaidia ila hali yake ilizidi kuwa mbaya.
Ni single mama mwenye mtoto mmoja wa kike mwenye tabia nzuri sio kama Paula yupo chuo mwaka wa 3 ni mzuri. Juzi kati alituita na mwanae, sitasahau alichosema😢 " mwanangu Eliza wanaume ni wengi ila E" awe mume wako mtarajiwa ninae kushauri umpende kama anavyo mpenda mama yako.
Mama ☺️Akatabasamu akanangalia. Akanambia mwanangu ni mzuri na nimemlea vizuri kwa ajili yako. Mama yake leo hayupo. 😢. Siku ya 15 kwenye mahusiano na nitamuoa.
Kumbe wewe ni fisi[emoji23][emoji23][emoji23]
Ulikua ujana tu na ujingaKumbe hii hali ni nyota yako.[emoji23][emoji23]
Alishakata moto 2015... Mwanae kaolewa 2019 anamaisha yake mazuri tu, ila ananitafutaga mara moja moja kupasha kipo
Yan ukiona ivyo ujue alikuwa anakupenda , ila jamaa ake sio mtu wa heavy duty nini.😅Alishakata moto 2015... Mwanae kaolewa 2019 anamaisha yake mazuri tu, ila ananitafutaga mara moja moja kupasha kiporo
Alivyowaita alikuwa ICU ama wap [emoji23][emoji23][emoji23]Nimefanikiwa kutengeneza urafiki na mama muuza genge hadi katokea kunipenda na kuniamini sana. Alipenda kujua maisha yangu ya kiroho na maisha ya kawaida na kuridhika nayo.
Baada ya kumaliza chuo 2019 niliamua kujiongeza na mambo mengine nje ya nilichosomea. Mapema nilipanga geto. Nimekuwa mteja wa huyu mama kwa mda kidogo, tukipiga stori na kunishauri kuhusu maisha.
Juzi kati amezidiwa du kumbe alikuwa na tatizo kubwa la kiafya[emoji27] na kulazwa nilijitoa kwa moyo wangu wote kumsaidia ila hali yake ilizidi kuwa mbaya.
Ni single mama mwenye mtoto mmoja wa kike mwenye tabia nzuri sio kama Paula yupo chuo mwaka wa 3 ni mzuri. Juzi kati alituita na mwanae, sitasahau alichosema[emoji22] " mwanangu Eliza wanaume ni wengi ila E" awe mume wako mtarajiwa ninae kushauri umpende kama anavyo mpenda mama yako.
Mama [emoji3526]Akatabasamu akanangalia. Akanambia mwanangu ni mzuri na nimemlea vizuri kwa ajili yako. Mama yake leo hayupo. [emoji22]. Siku ya 15 kwenye mahusiano na nitamuoa.
Daah yule mzee angejua nilikuwa nawatapeli wanaume wa mkoani pale sokoni karume mpka wanatoa kamasi kwa kulia asingeongea hayo maneno
Well said, Katika point mzee mkubwa ni kutafuta pesa, hilo nakushukuru saivi baadae ni mbaliMkuu wahuni wa uingereza walisema ukiona the Deal is too Good, Think twice
Kama demu amekupenda kwasababu mama yake kamwambia basi jua ipo siku memory za mama zikipungua atakula chochoro..
Ila kama unampenda endelea nae tu,, mpe mahaba motomoto na usisahau kutafuta hela.. Nasisitiza tena tafuta hela za kutosha
Utanishukuru baadae...
wewe umekabidhiwa na mama ila binti atakuja kukutana na kupendana natakayempendaNimefanikiwa kutengeneza urafiki na mama muuza genge hadi katokea kunipenda na kuniamini sana. Alipenda kujua maisha yangu ya kiroho na maisha ya kawaida na kuridhika nayo.
Baada ya kumaliza chuo 2019 niliamua kujiongeza na mambo mengine nje ya nilichosomea. Mapema nilipanga geto. Nimekuwa mteja wa huyu mama kwa mda kidogo, tukipiga stori na kunishauri kuhusu maisha.
Juzi kati amezidiwa du kumbe alikuwa na tatizo kubwa la kiafya😰 na kulazwa nilijitoa kwa moyo wangu wote kumsaidia ila hali yake ilizidi kuwa mbaya.
Ni single mama mwenye mtoto mmoja wa kike mwenye tabia nzuri sio kama Paula yupo chuo mwaka wa 3 ni mzuri. Juzi kati alituita na mwanae, sitasahau alichosema😢 " mwanangu Eliza wanaume ni wengi ila E" awe mume wako mtarajiwa ninae kushauri umpende kama anavyo mpenda mama yako.
Mama ☺️Akatabasamu akanangalia. Akanambia mwanangu ni mzuri na nimemlea vizuri kwa ajili yako. Mama yake leo hayupo. 😢. Siku ya 15 kwenye mahusiano na nitamuoa.