Kanikabidhi binti yake nimpende

Kanikabidhi binti yake nimpende

Mahusiano ya kipindi icho yalidumu kutokana na kujengwa juu ya sheria na uoga, binti anaamua tu kuishi mtu kwasababu hapakuwa na namna wala kujichagulia mtu hawakufikiria kutokana na tamadani. Then sio wote waliochaguliwa wenzi hawakupendana mana ilikuwa ni tamadani kabla ya utendawazi kuenea. mabinti wengi waliridhika na huo utaratibu kwa kuwa ilikuwa ndio option pekee ya kuingia kwenye ndoa katika jamii nyingi. Pia mafundisho mengne ya kuishi ya mwenzi yalizingatiwa sana pia hapakuwa na Uhuru wa wenzi kuvunja ndoa kirahisi mana wazee walikuwa na nguvu Sanaa kwenye maisha ya vijana wao. Ila ni kwanini wazee walichagulia vijana wao wenzi?
Nimeelewa point yako .. laikini nahisi hujaelewa nilichokiandika mkuu
 
"Kunguru wa Manzese toka uje kwetu hapa rombo umekuwa kijana mchapakazi japo hatujui unapotokea na haujawahi kutuweka wazi. na ni kijana mwenye adabu pia vijana wenzako mnaouza wote pale sokoni mamsera wanakusifia ningependa umuoe binti yangu Haikande pindi ntakapoondoka dunia hii .. mwanangu aikande hapa utakuwa mikononi salama..

"Ni kweli baba .. aliitikia aikande "



Daah yule mzee angejua nilikuwa nawatapeli wanaume wa mkoani pale sokoni karume mpka wanatoa kamasi kwa kulia asingeongea hayo maneno

Mbona usubiri hadi pindi atakapoondoka duniani?
 
Huu uongo
FB_IMG_16184552536979992.jpg
 
Mfano mama angekukabidhi binti yake halafu ukute binti ana sura kama yangu ungemkubali au

ungemwambia mzaa chema "asante kwa zawadi mama" nitamtunza kwa maombi ila si kama mke?

hizi zawadi zingine tunazipokeaga kwasababu ni nzuri tu ila kuna zawadi hata upewe lazma utoe excuse kama 100..
 
Mfano mama angekukabidhi binti yake halafu ukute binti ana sura kama yangu ungemkubali au

ungemwambia mzaa chema "asante kwa zawadi mama" nitamtunza kwa maombi ila si kama mke?

hizi zawadi zingine tunazipokeaga kwasababu ni nzuri tu ila kuna zawadi hata upewe lazma utoe excuse kama 100..
😂😂😂😂 Kama unavyosema mkuu lazima nimzunguke au namchana tu Nina mtu wangu
 
Wow!!Hongera sana, Mungu awajalie mfikie lengo
 
Nikushauri kitu?

Usianzishe mahusiano ya kimapenzi na huyo binti. No matter how tempted you might be.

Kuwa karibu nae lakini usiruhusu hisia za kimapenzi kwa sasa.

Wewe bado mdogo, na yeye bado mdogo sanaa na kwa vile amebaki mwenyewe (assumptions) ni rahisi kuangukia penzi lako huku akiwa hayupo tayari kabisa kihisia kwa vile tu anaamini maneno ya Mzazi wake kukuhusu wewe.

Jiweke karibu ila sio kimapenzi. Hope unaelewa. Weka limits zako hata akijisogeza kwako. Mtoe lunch hivi, Msaidie hapa na pale muache arudi katika haki ya kawaida kisaikolojia na umuache amalize chuo salama. Usiruhusu mazingira ya kimapenzi. Ila unaweza kukaa nae chini na kumueleza kwamba nia Yako ni njema lakini unataka amalize chuo na ajisimamie halafu afanye uamuzi.

Na wewe endelea na mishe zako, tafuta Kazi jenga maisha Yako. Somewhere along the line if it's meant to be it will be. Hapo barakaka za Mama utazipata na pia binti atakuheshimu knowing that ulimuacha akue na kufanya uamuzi wa ki utu uzima.

Na wewe pia utabarikiwa na hata msipokuwa Mke na Mume , Mr and Mrs Karma watapita bila kukugaragaza kwa sababu hauku mrubuni Dada wa watu.
 
Back
Top Bottom