Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeelewa point yako .. laikini nahisi hujaelewa nilichokiandika mkuuMahusiano ya kipindi icho yalidumu kutokana na kujengwa juu ya sheria na uoga, binti anaamua tu kuishi mtu kwasababu hapakuwa na namna wala kujichagulia mtu hawakufikiria kutokana na tamadani. Then sio wote waliochaguliwa wenzi hawakupendana mana ilikuwa ni tamadani kabla ya utendawazi kuenea. mabinti wengi waliridhika na huo utaratibu kwa kuwa ilikuwa ndio option pekee ya kuingia kwenye ndoa katika jamii nyingi. Pia mafundisho mengne ya kuishi ya mwenzi yalizingatiwa sana pia hapakuwa na Uhuru wa wenzi kuvunja ndoa kirahisi mana wazee walikuwa na nguvu Sanaa kwenye maisha ya vijana wao. Ila ni kwanini wazee walichagulia vijana wao wenzi?
Fanya ziwe mbiliOngera
"Kunguru wa Manzese toka uje kwetu hapa rombo umekuwa kijana mchapakazi japo hatujui unapotokea na haujawahi kutuweka wazi. na ni kijana mwenye adabu pia vijana wenzako mnaouza wote pale sokoni mamsera wanakusifia ningependa umuoe binti yangu Haikande pindi ntakapoondoka dunia hii .. mwanangu aikande hapa utakuwa mikononi salama..
"Ni kweli baba .. aliitikia aikande "
Daah yule mzee angejua nilikuwa nawatapeli wanaume wa mkoani pale sokoni karume mpka wanatoa kamasi kwa kulia asingeongea hayo maneno
Chai
OkIpo pm mkuu, mcheki jina litakuja Eliza
😂😂😂😂 Kama unavyosema mkuu lazima nimzunguke au namchana tu Nina mtu wanguMfano mama angekukabidhi binti yake halafu ukute binti ana sura kama yangu ungemkubali au
ungemwambia mzaa chema "asante kwa zawadi mama" nitamtunza kwa maombi ila si kama mke?
hizi zawadi zingine tunazipokeaga kwasababu ni nzuri tu ila kuna zawadi hata upewe lazma utoe excuse kama 100..
😂 😂 😂Kabisa ase Yan anatamani hichi kisa kingekuwa chake😂
ilitumika kulipa mishahara na posho za wabunge.. wakina king msukuma na wenzakeHalafu ada aliyolipa ilifanya nini??