Nimesali leo Kanisa Katoliki Ngaranaro (kwa Babu) ibada ya misa ya kwanza. Nimesikitika sana hakuna tahadhari yoyote kuhusu corona hakuna hata tangazo zaidi ya vindoo vya maji ambavyo hakuna kuhimizwa watu kunawa.
Ibada ni ndefu bila sababu kuanzia saa 12.30 asubuhi mpaka saa 2.20 asubuhi almost 3 hours. Watu wamebanana na hata kwenda kutoa sadaka au kupokea wanabanana huku wanaimbiana midomoni. Sanitising kits hazina sanitizer yaani nimebonyeza mpaka mikono unauma nothing oozes out. Katika watu karibia 400 wenye barakoa nimehesabu hawafiki 45.
Mbali ya hapo nyimbo zipo nyingi mno yaani kila kipengele cha liturjia wanaimba unaona tu midomo inatoa Moshi na baridi hii. Hii ni hatari yaani Jimbo kuu hakuna mwongozo wa kuendesha ibada kwa tahadhari. Jimbo la Dar es Salaam muda wa ibada umepunguzwa to one hour na nyimbo 3 au nne tu za muhimu kuingia, sadaka kupokea na mwisho Basi zinatosha sio kumpigia Mungu makelele wakati wa hatari hivi.
Arusha Askofu na kamati za jimbo za afya wamelala sana andaeni mwongozo wa ibada za misa jumapili ziwe fupi si zaidi ya saa moja. na mzifuatilie. NI BORA KUWA NA IBADA ZA MISA 6 KULIKO KULUNDIKA WATU NDANI BILA TAHADHARI ZOZOTE.
Mkuu wa mkoa Arusha peleka vijana kwenye haya makanisa kama hawataki kuona tatizo. What is this we are already injured wengine hata marehemu wetu hatujawazika.
Ibada ni ndefu bila sababu kuanzia saa 12.30 asubuhi mpaka saa 2.20 asubuhi almost 3 hours. Watu wamebanana na hata kwenda kutoa sadaka au kupokea wanabanana huku wanaimbiana midomoni. Sanitising kits hazina sanitizer yaani nimebonyeza mpaka mikono unauma nothing oozes out. Katika watu karibia 400 wenye barakoa nimehesabu hawafiki 45.
Mbali ya hapo nyimbo zipo nyingi mno yaani kila kipengele cha liturjia wanaimba unaona tu midomo inatoa Moshi na baridi hii. Hii ni hatari yaani Jimbo kuu hakuna mwongozo wa kuendesha ibada kwa tahadhari. Jimbo la Dar es Salaam muda wa ibada umepunguzwa to one hour na nyimbo 3 au nne tu za muhimu kuingia, sadaka kupokea na mwisho Basi zinatosha sio kumpigia Mungu makelele wakati wa hatari hivi.
Arusha Askofu na kamati za jimbo za afya wamelala sana andaeni mwongozo wa ibada za misa jumapili ziwe fupi si zaidi ya saa moja. na mzifuatilie. NI BORA KUWA NA IBADA ZA MISA 6 KULIKO KULUNDIKA WATU NDANI BILA TAHADHARI ZOZOTE.
Mkuu wa mkoa Arusha peleka vijana kwenye haya makanisa kama hawataki kuona tatizo. What is this we are already injured wengine hata marehemu wetu hatujawazika.