Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha Padre Rwegoshora kufuatia tuhuma za kuhusika mauaji ya Asimwe Novath

Jeshi la polisi linapaswa kufanya uchunguzi wa kina juu ya mauaji ya mtoto huyu! Huenda unyama huo utakuwa ulitekelezwa hapo kwenye nyumba ya mapadri. Chunguzeni na hao mapadri wenzake, huenda ndo dili zao. Haiwezekani, padri mwenzao atuhumiwe kufanya unyama huo, wenzake nyumba moja wasiweze kujua!
 
Hivi kwani kuna tofauti gani kati ya ukatoliki na ushirikina? They're quite synonymous, to say the least.

Never ever mistaken people's plausible-sounding words for a noble character.
 
Padre kufikia hatua hiyo ina maana kuna shida kwenye udahili wa hawa viongozi wa KANISA, watu wanaingia upadre bila wito bali shida za familia zao ndio zinawapeleka kanisani kwa imani ya maisha mazuri.
Upadri miaka yote imekua ni kazi kama kazi nyingine sema vijana wa altareni mlimezeshwa kwamba ni wito sijui ujinga gani sasa mnachanganyikiwa kusikia padri anaua albino.

Mapadri wamekua wakifanya matukio ya hovyo miaka nenda rudi, huko ulaya kesi za mapadri kubaka watoto wadogo hazihesabiki na hata papa Francis alikiri kwamba alimlinda padri ama askofu aliebaka watoto huko Berlin wakati akiwa askofu.

Acheni kuwatukuza, hao ni vibaka kama vibaka wengine.
 
Wewe unavyoamini padre mshirikina ni huyu pekee?
 
Kwa sasa Kanisa Katoriki ni Pango la mashetani! Linahusishwa na uovu wa kila namna mf.Umafia,Madawa ya kulevya,ushoga,Mauaji,nk
Unasema eti kwa sasa? Kwani lini liliwahi kuwa nyumba ya Mungu?

Unategemea nini kwa kanisa linalodai Yesu Kristu amewafia msalabani, wakati huohuo wanamwabudu marehemu Maria???
 
Naona ume base kwenye sadaka. Matoleo hayalazimishwi
 
Umeongea point,huenda walienda kkumuulia kanisani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…