Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha Padre Rwegoshora kufuatia tuhuma za kuhusika mauaji ya Asimwe Novath

Kwani si Yuko mahabusu? Hata asingesimamishwa,angeendeleaje kutoa huduma?

Mara ya mwisho kutoa huduma ni lini?
Nazani wengi walimkataa kuwa sio padre, hakuna cheo cha msaidizi, msaidizi sio lazima awe Padre

Maelezo yalikuwa mengi sana kuonesha kukinzana na taarifa za polisi

Sasa kama taasisi anayoifanyia kazi imekubali uwepo wake na kuna machapicho yake na huduma anazotoa ni wazi taarifa ya jeshi ilikuwa sahihi

Pia tusi sahau ata ktk vyombo vya imani kuna vyombo pia vya nchi, dola inamkono mrefu
 
Hapa mada ya uraia haitakosa! Ila huyu padre itakuwa Askofu alishamchoka la sihivyo Kanisa lingekanusha tu na habari ingekuwa kwisha.(Kanisa katoliki lipo juu ya sheria)
Wanaoijua hii wanaelewa RomaLocutaCausaFistinaEst
Acha upotoshaji huo.
Mamlaka za uchunguzi zimemtuhumu huyo Padre kwa vigezo vyao, iwe kweli au laah Kanisa haliwezi kuingilia kukanusha au kukubali. Kanisa lingekanusha lingekuwa linazuia Polisi kufanya kazi yao ya uchunguzi, pia lingeingia kwenye migogoro isiyo na ulazima na jeshi la Polisi.
Baada ya kutuhumiwa, Kanisa limetoa ushirikiano kwa kumsimamisha Padre huyo kutoa huduma. Mengine yote, iwe kweli au isiwe kweli itajulikana Mahakamani.
 
Sahihi kabisa, wametoa ushirikiano na kuondoa taharuki
 
Ujinga huu ndo ulinifanya kaa mbali na kanisa hili, kuna ubabaishaji wa ajabu sana msione wapo ndani ya majoho. Hakuna raha za dunia wazizofanya labda wale wa zamani ila sio hawa G - z
 
 
Tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa nashangaa kuona padri anakunywa pombe, tena pombe za kienyeji kama mtukuru na komoni, pombe ya uwele na mahindi. Mshangao zaidi anavuta tumbaku kwa kutumia kiko/mtemba. Ni baada ya kutoka kuendesha ibada ya misa tena padri mwenyewe ni mzungu. Nilishangaa sana mtu wa mungu anatumia vilevi
 
Hizo hatua zaidi za kikanisa zitakazochukuliwa baada ya tuhuma zake kuisha ni zipi? Na kwann wanahakika kwamba tuhuma zake zitaisha? Wasilete umaalumu kwenye Sheria za nchi na Uhai wa mtoto mdogo wa miaka miwili. Tena aliyekuwa akipambana na Maisha ya ulemavu wa ngozi.
Kama wao wana umaalumu sana wange simamia Maadili na Mienendo ya watu wao.
 
Wamuulize huyo padre alitaka akafanyie nini hivyo viungo vya malaika.
 
Hapa mada ya uraia haitakosa! Ila huyu padre itakuwa Askofu alishamchoka la sihivyo Kanisa lingekanusha tu na habari ingekuwa kwisha.(Kanisa katoliki lipo juu ya sheria)
Wanaoijua hii wanaelewa RomaLocutaCausaFistinaEst
Umesharudi Jumuiya au bado?
 
Umesharudi Jumuiya asubuhi hii?
 
Ndio huyo kwenye picha kumbe
 
Sasa wewe hapa hoja yako ni nini? Huu ni utaratibu wa kanisa katoliki kumsimamisha mtumishi wake kutoa huduma (hata kama ni mtumishi ambaye siyo padre) katika mazingira kama haya. Hata serikali humsimamisha kazi mtumishi wake akiwa na tuhuma za kijinai na hata za madai. Padre ni mtumishi wa kanisa kama alivyo mtumishi wa serikali.
Nalipongeza jeshi la polisi kwa hatua hii. However our Police Force should be converted into a Police Service for obvious reasons.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…